Zifahamu nyakati kuu 3 muhimu za kufanya tendo la ndoa

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Inawahusu wanandoa zaidi;

Mojawapo ya faida na umuhimu wa tendo la ndoa hasa kwa wanandoa ni kujenga afya ya mwili na akili pamoja kudumisha upendo katika ndoa au kwa wanandoa.

Ili tendo hilo liweze kuleta faida hizo zilizitajwa hapo juu, linapaswa kufanyika kwa ustadi mkubwa na kwa wakati muafaka ili kupata utoshelevu (KURIDHISHANA). Hakuna jambo muhimu katika tendo la ndoa kama kuridhishana. Kukosa kumridhisha mwenzi wako kwa hakika ni kujuiweka katika hatari ya kusalitiwa.

Nimesema tendo lifanywe kwa USTADI na kwa WAKATI MUAFAKA.

Kuna nyakati kuu TATU, ambazo ukifanya tendo la ndoa nafasi ya kumridhisha mwenzako na kumuachia kumbukumbu kichwani huwa ni kubwa sana

1) ALFAJIRI - saa 11:00 hadi 12:30.
Hii huitwa morning glory ni wakati mzuri kuliko wowote. Huleta nguvu ya akili na uchangamfu wa mwili siku nzima

2) USIKU wa saa 3:30 hadi 4:30.
Hapa ni wakati mwili unahitaji kupumzika baada ya pilika nyingi. Tendo likifanyika vizuri inakuwa kama massage na baada ya hapo mwili hupumzika vema.

3) MNAPOSAMEHEANA.
Mfano mligombana na baadae mkatengeneza na kuombana msamaha. Hitimisho lake liwe ni tendo la ndoa. Wakati huu hisia huwa juu sana kwa kila mmoja.
 
Inawahusu wanandoa zaidi;

Mojawapo ya faida na umuhimu wa tendo la ndoa hasa kwa wanandoa ni kujenga afya ya mwili na akili pamoja kudumisha upendo katika ndoa au kwa wanandoa.

Ili tendo hilo liweze kuleta faida hizo zilizitajwa hapo juu, linapaswa kufanyika kwa ustadi mkubwa na kwa wakati muafaka ili kupata utoshelevu (KURIDHISHANA). Hakuna jambo muhimu katika tendo la ndoa kama kuridhishana. Kukosa kumridhisha mwenzi wako kwa hakika ni kujuiweka katika hatari ya kusalitiwa.

Nimesema tendo lifanywe kwa USTADI na kwa WAKATI MUAFAKA.

Kuna nyakati kuu TATU, ambazo ukifanya tendo la ndoa nafasi ya kumridhisha mwenzako na kumuachia kumbukumbu kichwani huwa ni kubwa sana

1) ALFAJIRI - saa 11:00 hadi 12:30.
Hii huitwa morning glory ni wakati mzuri kuliko wowote. Huleta nguvu ya akili na uchangamfu wa mwili siku nzima

2) USIKU wa saa 3:30 hadi 4:30.
Hapa ni wakati mwili unahitaji kupumzika baada ya pilika nyingi. Tendo likifanyika vizuri inakuwa kama massage na baada ya hapo mwili hupumzika vema.

3) MNAPOSAMEHEANA.
Mfano mligombana na baadae mkatengeneza na kuombana msamaha. Hitimisho lake liwe ni tendo la ndoa. Wakati huu hisia huwa juu sana kwa kila mmoja.


mnaposameheana ata kama saa 8 mchana! maana haipo kwenye ratiba
 
kwa wanaume wa dar hii ngumu kwao mana iyo alfajiri mda uo upo kwenye foleni kuwahi foleni umelala usiku unawaza foleni uo mda wa kunjunju utapata wapi
 
Iyo ya kusameheana ndio yenyewee nakumbuka mimba yangu ya kwanza niliipatiaga hapo, hisia zake acha kabisa
 
Inawahusu wanandoa zaidi;

Mojawapo ya faida na umuhimu wa tendo la ndoa hasa kwa wanandoa ni kujenga afya ya mwili na akili pamoja kudumisha upendo katika ndoa au kwa wanandoa.

Ili tendo hilo liweze kuleta faida hizo zilizitajwa hapo juu, linapaswa kufanyika kwa ustadi mkubwa na kwa wakati muafaka ili kupata utoshelevu (KURIDHISHANA). Hakuna jambo muhimu katika tendo la ndoa kama kuridhishana. Kukosa kumridhisha mwenzi wako kwa hakika ni kujuiweka katika hatari ya kusalitiwa.

Nimesema tendo lifanywe kwa USTADI na kwa WAKATI MUAFAKA.

Kuna nyakati kuu TATU, ambazo ukifanya tendo la ndoa nafasi ya kumridhisha mwenzako na kumuachia kumbukumbu kichwani huwa ni kubwa sana

1) ALFAJIRI - saa 11:00 hadi 12:30.
Hii huitwa morning glory ni wakati mzuri kuliko wowote. Huleta nguvu ya akili na uchangamfu wa mwili siku nzima

2) USIKU wa saa 3:30 hadi 4:30.
Hapa ni wakati mwili unahitaji kupumzika baada ya pilika nyingi. Tendo likifanyika vizuri inakuwa kama massage na baada ya hapo mwili hupumzika vema.

3) MNAPOSAMEHEANA.
Mfano mligombana na baadae mkatengeneza na kuombana msamaha. Hitimisho lake liwe ni tendo la ndoa. Wakati huu hisia huwa juu sana kwa kila mmoja.
Ni ukweli mtupu
 
Hahaha...hiyo namba 3 Yenyewe. halafu ukute bibie alikuwa analia machozi ya uchunguuuuuu gafla yanakuwa machozi ya utamuuuuuu
 
mnaposameheana ata kama saa 8 mchana! maana haipo kwenye ratiba

Kama wakati huo mpo na faragha mnaweza kufanya hivyo.
Kama sivyo, basi stick kwenye mida iliyopendekezwa ila centrual theme ilenge kwenye furaha ya kumaliza tofauti zenu.

In short mwanandoa usije msije mkamaliza tofauti zenu bila ku do.
 
Inawahusu wanandoa zaidi;

Mojawapo ya faida na umuhimu wa tendo la ndoa hasa kwa wanandoa ni kujenga afya ya mwili na akili pamoja kudumisha upendo katika ndoa au kwa wanandoa.

Ili tendo hilo liweze kuleta faida hizo zilizitajwa hapo juu, linapaswa kufanyika kwa ustadi mkubwa na kwa wakati muafaka ili kupata utoshelevu (KURIDHISHANA). Hakuna jambo muhimu katika tendo la ndoa kama kuridhishana. Kukosa kumridhisha mwenzi wako kwa hakika ni kujuiweka katika hatari ya kusalitiwa.

Nimesema tendo lifanywe kwa USTADI na kwa WAKATI MUAFAKA.

Kuna nyakati kuu TATU, ambazo ukifanya tendo la ndoa nafasi ya kumridhisha mwenzako na kumuachia kumbukumbu kichwani huwa ni kubwa sana

1) ALFAJIRI - saa 11:00 hadi 12:30.
Hii huitwa morning glory ni wakati mzuri kuliko wowote. Huleta nguvu ya akili na uchangamfu wa mwili siku nzima

2) USIKU wa saa 3:30 hadi 4:30.
Hapa ni wakati mwili unahitaji kupumzika baada ya pilika nyingi. Tendo likifanyika vizuri inakuwa kama massage na baada ya hapo mwili hupumzika vema.

3) MNAPOSAMEHEANA.
Mfano mligombana na baadae mkatengeneza na kuombana msamaha. Hitimisho lake liwe ni tendo la ndoa. Wakati huu hisia huwa juu sana kwa kila mmoja.
zoote napenda ulizotaja ila di kushtukizwa yaani paaaaaaap jamaa anaibuka may be mchana kisha ananikunja walahi hainitoki kabisaa kichwani ntamuwaza saa zote
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom