Zidane ni kocha wa kawaida sana, kimbinu anapitwa hata na Arteta

Malaika wa Misukosuko

JF-Expert Member
Jul 16, 2021
1,744
5,071
images (6).jpeg


Moja kati ya makocha ambao nimekuwa nikitazama mechi zao kadhaa za nyuma basi ni huyu kocha Zidane ila kitu nlichogundua ni kwamba huyu jamaa ni kocha wa kawaida mno kimbinu, aliweza kuchukua makombe ya UEFA back to back kwasababu tu ya uwepo wa CR7 akiwa kwenye peak yake na aina wachezaji waliopo madrid,

Na ndomaana mpaka sasa hana timu tangu kaondoka Real madrid hakuna timu iliyompa ofa kwasababu wameangalia aina ya mpira wake ni wa kizamani sana na ni kocha wa mbinu moja tu kitu ambacho modern football haitaki kwa sasa,

Kuna mtu atasema mbona aliweza kubeba makombe ya Uefa back to back akiwa madrid ? Jibu ninalo weza kukupa ni kwamba Madrid ni aina ya Timu ambayo unaweza mchukua hata Peter Msechu tukamvalisha suti na Tai ndefu na kumkabidhi timu na akabeba Makombe kama hana akili nzuri,

Siku zidane akipata kazi nje ya klabu ya madrid mtakumbuka maneno yangu huyu kocha hatokuja kubeba tena kombe la Uefa akifundisha timu nyingne tofauti na Wafalme wa Soka duniani Real madrid.
 
Mpe heshima yake, mourinho na ufundi wake wa mbinu pale madrid hata fainali ya uefa tu hakunusa.

Wangapi walifeli pale madrid?
Mourinho ni aina ya kocha ambaye hawez kucooperate vzuri na kikosi kilicho na wachezaji wengi Top players, ndomaan pale madrid kuna visa vingi sana vya yeye kupishana kauli na wachezaji wake,

Maan yule jamaa ni mtu mwenye misimamo mikali sana hapend kuyumbishwa usipofata maelekezo yake na kumletea jeuri yupo tayari hata akuweke sub hata kama ni Mchezaji tegemezi.

Ila akifundisha timu yenye wachezaji wengi wasio na majina makubwa sana huwa ni moto wa kuotea mbali rejea alichokifanya Porto, Roma na Chelsea.
 
Naunga mkono hoja,na hili lishasemwa sana, Madrid ya zidane Haikua inajulikana wanashambulia vipi,wanakaba vipi,hawakua wanacheza kwa kuvutia Wala kwa mbinu
Hata hii ya anjeloti haijulikani wanacheza mpira gani unashangaa tu rodrigo katoka kusikojulikana kafunga mara mpira umezagaa zagaa tu ndani ya 18 ujui bellingham katokea wapi kafunga.
 
View attachment 3000119

Moja kati ya makocha ambao nimekuwa nikitazama mechi zao kadhaa za nyuma basi ni huyu kocha Zidane ila kitu nlichogundua ni kwamba huyu jamaa ni kocha wa kawaida mno kimbinu, aliweza kuchukua makombe ya UEFA back to back kwasababu tu ya uwepo wa CR7 akiwa kwenye peak yake na aina wachezaji waliopo madrid,

Na ndomaana mpaka sasa hana timu tangu kaondoka Real madrid hakuna timu iliyompa ofa kwasababu wameangalia aina ya mpira wake ni wa kizamani sana na ni kocha wa mbinu moja tu kitu ambacho modern football haitaki kwa sasa,

Kuna mtu atasema mbona aliweza kubeba makombe ya Uefa back to back akiwa madrid ? Jibu ninalo weza kukupa ni kwamba Madrid ni aina ya Timu ambayo unaweza mchukua hata Peter Msechu tukamvalisha suti na Tai ndefu na kumkabidhi timu na akabeba Makombe kama hana akili nzuri,

Siku zidane akipata kazi nje ya klabu ya madrid mtakumbuka maneno yangu huyu kocha hatokuja kubeba tena kombe la Uefa akifundisha timu nyingne tofauti na Wafalme wa Soka duniani Real madrid.
Nadhani ni vizuri tumpe heshima yake. Wqjua alirudi Real Madrid mara ya pili kwa kuokoa jahazi? Alikuta timu ishapoteana, kisha akachukua nayo ubingwa.

Maneno ya hivi yalisemwa kwa Pep pia, akidaiwa kubebwa na Messi, ila kila alikoenda alizitawala ligi na kupata mafanikio.

Tumheshimu Zidane mkuu.

Ova
 
Swali je alipata alichopata zidane? Mtu akifanikiwa tukubali tu,
Mie naamini yote kwa yote lazima uwe na bahati pia. Unaweza ukajua na bahati huna huambulii kitu.. De lima na kujua kwake hakupata uefa champions league, pep na ufundi wake woote alishindwa kuchukua uefa pale bayern, hapo man city kwenyewe pamoja na timu kuwa bora sana kwa muda mrefu ndio kachukua mwaka juzi.
Zidane hawezi kuwa hana mbinu kabisa, napinga, kina ramos, ronaldo wasingekubali kupelekwa hovyo.
Mourinho ndiye kocha aliyeirudisha Madrid hii kwenye ushindani. Ni timu iliyokuwa imepotea kabla yake. Ilibadili makocha na wachezaji mpaka basi.
 
Mourinho ni aina ya kocha ambaye hawez kucooperate vzuri na kikosi kilicho na wachezaji wengi Top players, ndomaan pale madrid kuna visa vingi sana vya yeye kupishana kauli na wachezaji wake,

Maan yule jamaa ni mtu mwenye misimamo mikali sana hapend kuyumbishwa usipofata maelekezo yake na kumletea jeuri yupo tayari hata akuweke sub hata kama ni Mchezaji tegemezi.

Ila akifundisha timu yenye wachezaji wengi wasio na majina makubwa sana huwa ni moto wa kuotea mbali rejea alichokifanya Porto, Roma na Chelsea.
Yaani ashindwe Mourinho aweze Peter Msechu?
 
View attachment 3000119

Moja kati ya makocha ambao nimekuwa nikitazama mechi zao kadhaa za nyuma basi ni huyu kocha Zidane ila kitu nlichogundua ni kwamba huyu jamaa ni kocha wa kawaida mno kimbinu, aliweza kuchukua makombe ya UEFA back to back kwasababu tu ya uwepo wa CR7 akiwa kwenye peak yake na aina wachezaji waliopo madrid,

Na ndomaana mpaka sasa hana timu tangu kaondoka Real madrid hakuna timu iliyompa ofa kwasababu wameangalia aina ya mpira wake ni wa kizamani sana na ni kocha wa mbinu moja tu kitu ambacho modern football haitaki kwa sasa,

Kuna mtu atasema mbona aliweza kubeba makombe ya Uefa back to back akiwa madrid ? Jibu ninalo weza kukupa ni kwamba Madrid ni aina ya Timu ambayo unaweza mchukua hata Peter Msechu tukamvalisha suti na Tai ndefu na kumkabidhi timu na akabeba Makombe kama hana akili nzuri,

Siku zidane akipata kazi nje ya klabu ya madrid mtakumbuka maneno yangu huyu kocha hatokuja kubeba tena kombe la Uefa akifundisha timu nyingne tofauti na Wafalme wa Soka duniani Real madrid.
Hawa ndiyo Makocha waliopita Real Madrid bila kupata mafanikio Kama ya Zidane
1. Ben Schuster
2. Fabio Cappelo
3.Jose Mourinho
4. Juan De Ramos
5. Manuel Pellegrino
6. Santiago Solari
7. Vicente Del Bosque
 
View attachment 3000119

Moja kati ya makocha ambao nimekuwa nikitazama mechi zao kadhaa za nyuma basi ni huyu kocha Zidane ila kitu nlichogundua ni kwamba huyu jamaa ni kocha wa kawaida mno kimbinu, aliweza kuchukua makombe ya UEFA back to back kwasababu tu ya uwepo wa CR7 akiwa kwenye peak yake na aina wachezaji waliopo madrid,

Na ndomaana mpaka sasa hana timu tangu kaondoka Real madrid hakuna timu iliyompa ofa kwasababu wameangalia aina ya mpira wake ni wa kizamani sana na ni kocha wa mbinu moja tu kitu ambacho modern football haitaki kwa sasa,

Kuna mtu atasema mbona aliweza kubeba makombe ya Uefa back to back akiwa madrid ? Jibu ninalo weza kukupa ni kwamba Madrid ni aina ya Timu ambayo unaweza mchukua hata Peter Msechu tukamvalisha suti na Tai ndefu na kumkabidhi timu na akabeba Makombe kama hana akili nzuri,

Siku zidane akipata kazi nje ya klabu ya madrid mtakumbuka maneno yangu huyu kocha hatokuja kubeba tena kombe la Uefa akifundisha timu nyingne tofauti na Wafalme wa Soka duniani Real madrid.
Haya ndio madhara ya kula viporo vya makande
 
Back
Top Bottom