Addis Ababas
JF-Expert Member
- Aug 5, 2018
- 351
- 353
Mkoa wa Mara hauko sawa kiuchumi, unahitaji mkakati mpya wa kuchochea uchumi.
Kwa kulijua hilo CCM wakaja na mradi wa chuo kikuu, Mwl Nyerere University of Agriculture and Technology, wa tsh 770 billion.
Mradi huu kama ilivyo kwa miradi mingine ya mkoa huu una miaka zaidi ya 10 bila kutekelezwa. Uchaguzi wa 2015 ulipokaribia, wakateuliwa viongozi na wakaajriwa watumishi...lakn hakuna wanafunzi hadi sasa, hawa wamekaa bila kazi...
Inasikitisha kuona, Rais kaenda Mara hakuna aliyeulizia mradi huu kwa Rais. Mradi huu n wa mkoa kwani kwa mjibu wa Draft charter ya chuo, chuo kitakuwa na matawi ktk wilaya zote za mkoa... Tazama pp 76, 77 za charter.
Nyerere anasifiwa, lakn hakuna chochote cha maana kinachofanyika. Hospital ya mkoa ina miaka 40bila kukamilikka, barabara ya Arusha - Musoma miaka 55 bila kukamilika, mama Maria anaoga maji ya kopo, hata kaburi la Nyerere ni Mandela ndo aliyetoa hela za kulijenga, mwl Nyerere Foundation hawana hata senti ya kufanya kazi zake. Aibu!
Kwa kulijua hilo CCM wakaja na mradi wa chuo kikuu, Mwl Nyerere University of Agriculture and Technology, wa tsh 770 billion.
Mradi huu kama ilivyo kwa miradi mingine ya mkoa huu una miaka zaidi ya 10 bila kutekelezwa. Uchaguzi wa 2015 ulipokaribia, wakateuliwa viongozi na wakaajriwa watumishi...lakn hakuna wanafunzi hadi sasa, hawa wamekaa bila kazi...
Inasikitisha kuona, Rais kaenda Mara hakuna aliyeulizia mradi huu kwa Rais. Mradi huu n wa mkoa kwani kwa mjibu wa Draft charter ya chuo, chuo kitakuwa na matawi ktk wilaya zote za mkoa... Tazama pp 76, 77 za charter.
Nyerere anasifiwa, lakn hakuna chochote cha maana kinachofanyika. Hospital ya mkoa ina miaka 40bila kukamilikka, barabara ya Arusha - Musoma miaka 55 bila kukamilika, mama Maria anaoga maji ya kopo, hata kaburi la Nyerere ni Mandela ndo aliyetoa hela za kulijenga, mwl Nyerere Foundation hawana hata senti ya kufanya kazi zake. Aibu!