Jk ni mchumi, sasa anaposema watafute njia za kupunguza inflation, anazungumza kwa nadharia, nilitegemea angetumia uchumi wake kushauri njia ipi itumike kupunguza inflation rate lakin jamaa yetu anatoa matumain mahali panapohitaji kutenda. Wakati huu si muda wakupeana matumaini alisha toa matumaini 5yrs ago hakuna alichotimiza aache ukilaza afanye maamuzi magumu.