Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 701
Hii siyo ziara. Kutoka ofisi yake Ikulu kwenda Hazina ni kama mita 300 hivi. Kwenda TRA/Long Room ni kama nusu kilometa. Hata bila yeye kwenda huko angeweza kuwaita wahusika wakaenda ofisini kwake na taarifa alizozitaka. Ni zuga zake za kila siku.Kumbe anakumbuka kufanya ziara nchini?? mi nilifikiri yupo Ughaibuni anakula gud tym.
Big up Kikwete kwa kuanza kufanya ziara nchini!