Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
- Thread starter
- #41
Usifikiri hatujui kutoa haya ManenoAcha kubwabwaja wewe toa hoja,hao moderators wanajua kwamba babu slaa alikuwa padri,wanajua kwamba aliasi dini yake na upadri,wanajua kwamba anaishi na mke wa mtu sababu hajamwoa na hajapewa talaka sasa wewe unachopinga kitu gan?kama sio uzinifu tuite jina gan?