Ziara Ya Katibu Mkuu Dr. Wilibroad Slaa Leo

Ziara Ya Katibu Mkuu Dr. Wilibroad Slaa Leo

CCM yule Katibu mkuu wenu anaemshambulia Nyalandu baada ya kumblock mbinu zake za Kuua Tembo yupo?
 
Magamba yanamwogopa Daktarii wa Ukweliii hahaha
 
Ndugu Emma ukawa weshamchagua Dr kuwa mgombea wao, au unamuombea achaguliwe?


Lowassa kakimbia debate na magamba wenzake ndiyo maana mnaanza kupiga mayowe maana mziki wa Dr Slaa usipime
 
inatakiwa zaidi ya hapo, najua mnafika lakini si kwa kiwango kizuri, mkifikia nusu ya vijiji vyote nchini october yenu, Mtaji wa hawa wezi upo vijijini, na wanajua huwa hamfiki huko.

Kama unaweza uliza vijiji vya nyanda za Juu kusini na kanda ya ziwa
 
Padri mzinifu sana huyu,Mungu kamlaani kwa kusaliti kazi yake

Kama wewe hujawahi kuzini na uwe wa kwanza kuhukumu toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako mnafiki mkubwa wewe.
 
Padri mzinifu sana huyu,Mungu kamlaani kwa kusaliti kazi yake
Cookie, Mhariri, Active na Moderator, stanlthecreator si mara yake ya kwanza na hayupo peke yake katika kutoa lugha chafu kama hii ambayo lengo lake ni kumdhalilisha kiongozi kama Dr. Slaa kwa mambo binafsi. Kwamba wapo watu kama stanlthecreator halishangazi hata kidogo kwani wapuuzi wako wengi duniani, linalogomba ni vipi mmewaruhusu wahuni hawa kuendeleza upumbavu wao humu JF na hasa jukwaa hili. Haijalishi kama mtu mwenyewe anavaa gamba au gwanda, tabia hii ingeweza kukomeshwa mara moja kama tu mngewapa stahiki yao bila kujali wanatoka kundi gani kiitikadi, kijamii au kiimani. Hii si mara yangu ya kwanza kuwaomba kushughulikia mambo kama haya na haitakuwa mara yangu ya mwisho kuwakumbusha; mnatuangusha.
 
Cookie, Mhariri, Active na Moderator, stanlthecreator si mara yake ya kwanza na hayupo peke yake katika kutoa lugha chafu kama hii ambayo lengo lake ni kumdhalilisha kiongozi kama Dr. Slaa kwa mambo binafsi. Kwamba wapo watu kama stanlthecreator halishangazi hata kidogo kwani wapuuzi wako wengi duniani, linalogomba ni vipi mmewaruhusu wahuni hawa kuendeleza upumbavu wao humu JF na hasa jukwaa hili. Haijalishi kama mtu mwenyewe anavaa gamba au gwanda, tabia hii ingeweza kukomeshwa mara moja kama tu mngewapa stahiki yao bila kujali wanatoka kundi gani kiitikadi, kijamii au kiimani. Hii si mara yangu ya kwanza kuwaomba kushughulikia mambo kama haya na haitakuwa mara yangu ya mwisho kuwakumbusha; mnatuangusha.

Acha kubwabwaja wewe toa hoja,hao moderators wanajua kwamba babu slaa alikuwa padri,wanajua kwamba aliasi dini yake na upadri,wanajua kwamba anaishi na mke wa mtu sababu hajamwoa na hajapewa talaka sasa wewe unachopinga kitu gan?kama sio uzinifu tuite jina gan?
 
Back
Top Bottom