Ziara ya ghafla ya mgombea edward lowasa

Ziara ya ghafla ya mgombea edward lowasa

Sii kambi ya mama salma mumeona Membe hauziki kwaiyo munahamishia majeshi kwa Migiro......ila na nyie familia ya WAMA mnatapatapa aisee sababu kubwa ni kumzuiya Lweigwanan.....mlianza na Membe kumuuza ikawa nguma, mkaja na Migiro naye madudu yake ya UN yakajulikana watu wakaonyesha dalili ya kumkataa, mkaenda kwa Wassira huyu ndio watu hawakuweza hata kuchukua muda wa kumjadili kwa matendo yake ya nyuma ikiwepo na kuhukumiwa kwa kutoa rushwa ambayo ni doa kubwa sana na pili sura yake actually uwezi iweka kwenye frame ikaenea, then mkaenda kwa Pinda huyu wananchi wakaona ikulu itakuwa sehemu ya kulia kwenda mbeleeeee manake hata leo kuna taarifa kalia baada ya Kubenea kushinda mahakama kuu, sasa naona mumerudi tena kwa Migiro bila kujua swala la katiba ndio silaha itakayomjonga kabisa

Hivi kusema lowassa anaumwa ndio kumshambulia?
 
Tuache kuxusha.mimi nawapinga wote wanaomchafua Lowassa lakini pia nawadharau sana wanaombeza JK kuwa amefeli.ninyi mnaosema JK amefeli hamjui lolote Kikwete alipoingia madarakani aliachiwa nini na.ametufikisha wapi tuache majungu..JK amefanya kazi kubwa sana..pia naomba nikiri simuungi kono Membe lakini katika Unec wa kumi bora hakuiba kura.alipata kura halali na kuwa namba sita aiasa za uongo haziongezi nguvu kundi lolotem

Hivi unaposema kuwa kikwete kuingia madarakani aliachiwa nini, unaelewa unachoongea?! Unajua hali ya uchumi ilikuaje wakati huo? unajua deni la taifa lilikuaje wakati huo? Acha ushabiki mandazi ndugu yangu
 
Hivi unaposema kuwa kikwete kuingia madarakani aliachiwa nini, unaelewa unachoongea?! Unajua hali ya uchumi ilikuaje wakati huo? unajua deni la taifa lilikuaje wakati huo? Acha ushabiki mandazi ndugu yangu
Ukuaji was deni la taifa unaendana na kusambaa kwa miundombinu ya nchi
 
mbona Lowasa mwenyewe hawashambulii hawa watu yeye yukokimiya tuu????kila kukicha hapa jukwaani lazima zije story zakijingajinga nakitoto kama sio zawale wanawake mashankupe ambao kuanzia asubuhi mpaka jioni yeye nakanga moja kifuani anazunguka nyumba zawenzie kupiga majungu,kasahau hata kuswaki,chai cha mchana anakula kwnye ntyumba anazopeleka umbea...mtakesha mwaka huu nakama msipo kufa nyie kwa visukari na bp na mzee wa monduli mkamuacha anadunda hiyo 2015
 
Back
Top Bottom