Ziara ya ghafla ya mgombea edward lowasa

Ziara ya ghafla ya mgombea edward lowasa

Vijana wa WAMA mnasumbuka sana aisee....na jinsi mnavyomwandika sana Lowassa ndio mnapaisha jina lake.....wananchi wanapata fikra na kujiuliza kwa nini huyu jamaa anazushiwa mambo namna hii na kwa hakika munamuongezea what we call sympathy votes.... asanteni sana kwa hilo
 
muamkapo,mtembeapo pia mlalapo Edward ngoyai lowassa mnalo mwaka wenu huu na jamaa huyo ikulu.
yanni mkuu hawa majamaa wanakufa this time na bado kipenga kikipulizwa mishe mishe za Lwaiganan nakwambia watahama nchi..... kundi la Membe always are not creative katika siasa za Tz, hata joka la mdimu mwenyewe bado ni mchanga kabisa katika scientific politics ndio mana kwake yeye kuchafua watu ndio anaona ni siasa.. Ila nakwambia ikifika Monduli day tarehe 1/1/2015 watapata pressure hawa watu watakapoona Tanzania yote kuhamia Monduli
 
huyu mtu anaandamwa........akipata urais sijui jf itasalimika....

Jf aina tatizo mkuu, hao wasikupe pressure, ni vijana wa mgombea wa mama Salma anaitwa Bernard Membe......tokea lini Tanzania tukachaguliwa rais na mke wa rais tena mbaya zaidi rais aliyefeli kwenye utendaji kazi.....No way itakuwa ngumu kumeza kwa kweli
 
Kama uchaguzi wa ubunge 2010 Membe jimboni kwake alishinda kwa ushindi mwembamba wa 54% dhidi ya mgombea wa upinzani (aliepata 46% tena kwa kufanya kampeni ya chini ya mwezi na ni fukara wa kipato) aliemuwekea pingamizi mahakamani na pingamizi lake kutupwa baada ya kutaka kujitengenezea mazingira ya kupita bila kupingwa.Na katika ujumbe wa kamati kuu kuambulia nafasi ya sita na kuachwa nyuma na vijana wadogo kwenye medani ya siasa kama January Makamba,komredi Mwigulu Nchemba,Membe asitegemee chochote katika urais kwani sio size yake.

Mkuu, nafkiri umemaliza kila kitu kaka.....kwenye NEC na hata hiyo nafasi ya sita aliibiwa kura kuondoa aibu ya familia ya ikulu, na aliyekuja na hiyo hoja ni Mhagama, Membe alikuwa mtu wa 17... naomba nikiri wazi kuwa nilikuwepo kwenye chumba cha kuhesabia kura.... Na hakuna kitu najutia kama kuacha ule upuzi, nafkiri ningepaza sauti sana kwa ndani na nje ili wananchi (wajumbe) waelewe kilichotokea.
 
Cha ajabu katibu tawala wa Mkoa akisaidiwa na Mnec wamefanikisha ziara mkoani humo, pia mkuu Wa wilaya musoma mjini na maandishi nguli wa itv wamepewa jukumu Hilo

mnabaki kulalamika JF na facebook huku wanaume wa asili wasiobebwa na mke wa rais kama Membe wanahangaika kutafuta kura......naomba tuwajulishe tu kuwa output will depend on input; ila kama mnataka urais alafu hamtafuti kura mnaleta mashtaka ishakula kwenu fainali ni six months to come......
 
Kama hicho ni kigezo sidhani kama Mrema angekuwa Mbunge.

Sio mrema tu mkuu, 2005 na 2010 kuna mgombea moja wa urais katika kampeni zake lazima alikuwa aanguke ila mpaka sasa miaka kumi anapeta na afya tele
 
Mods humu ndani naona sikuhzi nao wanamgombea,habri za majungu zinaletwa wao nao wanashangilia

Hasa habari za hawa watu wa WAMA, ila ukileta uzi wa kuwaongelea haikai hata dakika kumi....this is not fair kama uwanja mumeurusu basi kuwe na fair ground, usiegemee upande mmoja...au muombe ushaidi kama huu uzushi mumeuchuna tu....
 
Mkuu, nafkiri umemaliza kila kitu kaka.....kwenye NEC na hata hiyo nafasi ya sita aliibiwa kura kuondoa aibu ya familia ya ikulu, na aliyekuja na hiyo hoja ni Mhagama, Membe alikuwa mtu wa 17... naomba nikiri wazi kuwa nilikuwepo kwenye chumba cha kuhesabia kura.... Na hakuna kitu najutia kama kuacha ule upuzi, nafkiri ningepaza sauti sana kwa ndani na nje ili wananchi (wajumbe) waelewe kilichotokea.

Tuache kuxusha.mimi nawapinga wote wanaomchafua Lowassa lakini pia nawadharau sana wanaombeza JK kuwa amefeli.ninyi mnaosema JK amefeli hamjui lolote Kikwete alipoingia madarakani aliachiwa nini na.ametufikisha wapi tuache majungu..JK amefanya kazi kubwa sana..pia naomba nikiri simuungi kono Membe lakini katika Unec wa kumi bora hakuiba kura.alipata kura halali na kuwa namba sita aiasa za uongo haziongezi nguvu kundi lolotem
 
Sijawahi kushuhudia Lowasa ameanguka jukwaani au akisaidiwa na glucose kupata nguvu ya kusimama na kuongea je anaeanguka majukwaani ba huyu Lowasa ni nani mgonjwa na aliyedhoofu?

Asante mkuu....hawa watu wa WAMA badala ya kuzunguka kimya kimya na kutafuta kura wanategemea mama salma aongee na mumewake ili Membe apitishwe hahahahahha wanachekesha sana aisee mwanaume anapigana mwenyewe na kamwe ukiwa mwanaume usitegemee kubebwa katika maisha yako....sasa huyu jamaa hata kwenye kazi ambayo ni very serious ya kutumikia wananchi zaidi ya million 46 anataka abebwe tu......please watanzania let us be serious na tusikubali na hata kuruhusu mke wa rais atuchaguliye rais wa 2015 na tutakuwa kwenye hali ngumu sana kimaisha kuliko hata sasa kwani mtu mwenyewe ni dhaifu mara mia mbili kuliko J........
 
Tuache kuxusha.mimi nawapinga wote wanaomchafua Lowassa lakini pia nawadharau sana wanaombeza JK kuwa amefeli.ninyi mnaosema JK amefeli hamjui lolote Kikwete alipoingia madarakani aliachiwa nini na.ametufikisha wapi tuache majungu..JK amefanya kazi kubwa sana..pia naomba nikiri simuungi kono Membe lakini katika Unec wa kumi bora hakuiba kura.alipata kura halali na kuwa namba sita aiasa za uongo haziongezi nguvu kundi lolotem

Mkuu nakubaliana na wewe Jk kafanya kazi.... ila kwenye kura za NEc daima nakupinga I was one of team katika kile chumba, ndio mana nadiriki kusema ninachokijua na nilichokisimamia so dont think ni story ya kupika or not...
 
Wewe baba kama sio wasira mwenyewe basi ni kambi wasira.
 
Picha za kupandishwa na kushushwa kwenye Ndege.?

Mkuu idawa ni uzushi huo wa vijana wa WAMA, walivyowambea kama alikuwepo kwenye msafara kama anavyodai lazima angepiga picha na kuleta humu.....manake wanatamani sana iwe hivyo
 
Mkuu, nafkiri umemaliza kila kitu kaka.....kwenye NEC na hata hiyo nafasi ya sita aliibiwa kura kuondoa aibu ya familia ya ikulu, na aliyekuja na hiyo hoja ni Mhagama, Membe alikuwa mtu wa 17... naomba nikiri wazi kuwa nilikuwepo kwenye chumba cha kuhesabia kura.... Na hakuna kitu najutia kama kuacha ule upuzi, nafkiri ningepaza sauti sana kwa ndani na nje ili wananchi (wajumbe) waelewe kilichotokea.

Acha kuandika uongo.ccm hakuna wizi Wa kula
 
WAMA at Work,mwaka huu mtachoka na lowassa,nao a membe anaid kujidhalilisha

hahahahaha Mkuu, hawa WAMA et all wanahangaika sana... baada ya kuona jamaa yao hauziki wamebaki kuchafua wenzao......Lowassa kwa sasa ni speed 360 hashikiki.
 
Bora rais awe mama migiro maana wote wanaotajwa ni wezi watupu

Sii kambi ya mama salma mumeona Membe hauziki kwaiyo munahamishia majeshi kwa Migiro......ila na nyie familia ya WAMA mnatapatapa aisee sababu kubwa ni kumzuiya Lweigwanan.....mlianza na Membe kumuuza ikawa nguma, mkaja na Migiro naye madudu yake ya UN yakajulikana watu wakaonyesha dalili ya kumkataa, mkaenda kwa Wassira huyu ndio watu hawakuweza hata kuchukua muda wa kumjadili kwa matendo yake ya nyuma ikiwepo na kuhukumiwa kwa kutoa rushwa ambayo ni doa kubwa sana na pili sura yake actually uwezi iweka kwenye frame ikaenea, then mkaenda kwa Pinda huyu wananchi wakaona ikulu itakuwa sehemu ya kulia kwenda mbeleeeee manake hata leo kuna taarifa kalia baada ya Kubenea kushinda mahakama kuu, sasa naona mumerudi tena kwa Migiro bila kujua swala la katiba ndio silaha itakayomjonga kabisa
 
Back
Top Bottom