Habari zenu ndugu zangu.Naomba kueleshwa vizuri kuhusu ziara ya Rais wa marekani barack obama kuja hapa tanzania.
Huku mtaani kuna maneno mengi kua amekuja kwaajili ya dili zingine kama za gesi,madini na yurenium.
Na wengine wanadai labda kwakua Rais wa china nae alikuja anadhani anaweza akawa amekuja kumharibia mikataba yake ambayo ameshaiweka.
Mimi mwenzenu sielewi lolote kuhusu haya mambo naomba nieleshwe.
Naamini ndani ya jf kuna vichwa nitasaidiwa.JF ni serikali kamili.
Huku mtaani kuna maneno mengi kua amekuja kwaajili ya dili zingine kama za gesi,madini na yurenium.
Na wengine wanadai labda kwakua Rais wa china nae alikuja anadhani anaweza akawa amekuja kumharibia mikataba yake ambayo ameshaiweka.
Mimi mwenzenu sielewi lolote kuhusu haya mambo naomba nieleshwe.
Naamini ndani ya jf kuna vichwa nitasaidiwa.JF ni serikali kamili.