bro alex
JF-Expert Member
- Jul 15, 2025
- 1,898
- 2,256
Mchekeshaji kupitia maudhui ya MITANDAONI akitumia mpira na staili za cristiano Ronaldo yuko Morocco kwenye maandalizi ya afcon, juzi tu hapa tulikua na chan ila kimyaa KWAKE, chuki na roho mbaya na kuweka watu wasio na sifa kwenye mamlaka vita tumaliza
Upendeleo TU jamaa Instagram ana wafuasi milioni tatu na zaidi na KAANZA hivi karibuni ila bado tu hatumpi nafasi kisa hatoki kwenye familia limbukeni za wanasiasa au Hana mazoea na waziri husika daah,
juzi nmemsikia kocha wa Tanzania akilalamika waandishi wa habari wame susa press yao wanaroho mbaya, press yao imezidiwa na press ya mwijaku na baba levo, wao wenyewe hawawaheshimu watu wanaojitoa kupitia huo mpira Tena hawalipwi hata na serikali ila heshima zero, mkuki kwa nguruwe kwa binadam mama linaumiza Hilo weka mbali.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fullstop kwishaaa
Upendeleo TU jamaa Instagram ana wafuasi milioni tatu na zaidi na KAANZA hivi karibuni ila bado tu hatumpi nafasi kisa hatoki kwenye familia limbukeni za wanasiasa au Hana mazoea na waziri husika daah,
juzi nmemsikia kocha wa Tanzania akilalamika waandishi wa habari wame susa press yao wanaroho mbaya, press yao imezidiwa na press ya mwijaku na baba levo, wao wenyewe hawawaheshimu watu wanaojitoa kupitia huo mpira Tena hawalipwi hata na serikali ila heshima zero, mkuki kwa nguruwe kwa binadam mama linaumiza Hilo weka mbali.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fullstop kwishaaa