Jina lenyewe la Zembwela, na mawazo ya kizembwela kwa hiyo usitegemee busara kutoka kwa zembwela.Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.
SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge. Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!
Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?
Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.
SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.
Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!
Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?
Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.
Division Five ni tatizo kubwa sana nchini.
Zembwela hana shule wala nini uelewa wake ni mdogo sana.
Hihihihihi yaani sasa hivi toka wameanza hawa jamaa wa UKAWA kila kitakachosemwa kikiwa against them unaonekana huna akili mvuta bangi jamani ndugu zangu kwani hao wanaounda UKAWA wao ni MUNGU kwamba they are always right ifike wakati tuwekwe wazi is there any else behind this ambacho tutafaidika wote watanzania apart from what they are always talking. Mimi nasema kwenye maandamano ni haki yetu sote kikatiba katika kushinikiza maslahi ya wote lakini sio kila kitu cha UKAWA tulaimishane ni sahihi, maoni na maswali juu masuala ya UKAWA yatujengee uelewa na ujasiri na sio kulazimishana kuelewa ilhari kuna visiri.
Ni maneno yake au alikua anasoma sms?
Hakuna Vijana wajinga kama wa Bavicha yani wao wanaamini UKAWA ndio baba na Mama yao na wala UKAWA hawakosei!
Ni ujinga kila siku kuwasema watangazaji kisa wanasema msio yapenda! Kwani nyie UKAWA ni Malaika?
Hivi nani aliwadanganya kila mtanzania ana unga mkono huo uchafu wa UKAWA?
Hongera Zembwela!
Free Tanzania mkuu, kila mtu na mawazo yake. Haiwezekani watu wote wapende UKAWA kama wewe na mimi. Nawakilisha.
Hakuna Vijana wajinga kama wa Bavicha yani wao wanaamini UKAWA ndio baba na Mama yao na wala UKAWA hawakosei!
Ni ujinga kila siku kuwasema watangazaji kisa wanasema msio yapenda! Kwani nyie UKAWA ni Malaika?
Hivi nani aliwadanganya kila mtanzania ana unga mkono huo uchafu wa UKAWA?
Hongera Zembwela!
Ina maana huamini kama alikuwa anangea yeye? Ukishangaa ya Zembwela utastaabu ya PJ na Babla nao walisema gazeti likiandika habari za Ukawa hawasomi
PJ nilimdharau siku moja Ilala akaja na Marioo wake mwanamke ndio alikuwa anaclear bill zote mezani kwao nilipoona hadi sigara ananunuliwa na mwanamke basi mpaka kesho mimi huwa siwashangai hawa mapunguani.
Kwahiyo leo umekubali kuwa wewe ni mjinga au unataka kusema nini.Mimi nilikuwa nauliza tu maana mtoa mada kwa namna alivyoandika inaonekana Zembwela alikuwa anasoma sms kwenye kipindi chake,sasa jamaa inaonekana hajaamini kama sms iliyosomwa imetumwa bali ni maneno yake tu
Kimsingi huwa sipendi kuzungumzia mambo ya watu hasa hawa wanaojiita mstaa kwani huwa ni za kijinga sana
Hao watangazaji wa Clods pamoja na redio yao ni upuuzi tu,wala siwezi hata kupotea muda wangu kujadili hata hapa itakuwa ni ajabu sana kwa anaenijua kukuta nimeandika haya!
Naunga mkono wazo lako ukawa mburula kabisa hawana wanachojua wanadhani watanzania hawana akili kama wao mazuzu yasiyojitambua hata mie ntawaponda tu wasifiwe kwa kipi cha maana.Nakubaliana na zembwela,,ukawa hawana akili kazi kutaka kuponza wananchi tu,,,waandamane wenyeweee