Zembwela awaponda UKAWA

Zembwela awaponda UKAWA

baharia Ar

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
837
Reaction score
316
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.
 
Binafsi nilikua na penda sana kumsikiliza zembwela wa est africa radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo ktk kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa uginga alonao ktk kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anaye kuaga nae yaan mjinga ni mjinga tu,zembwela huwezi iokoa ccm kwa hilo na utajikosea heshima na redio yako itakosa mashabiki kama zilokua nyingine.sms za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge! Et ukawa waandamane wenyewe ww unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulia zembwela shtuka ucitumike sanaa et una chama kweliii! Sasa upinzani ucipo kuwepo unaona itakua poa? Ndugu ninahasira leo umeniudhi sanaaaa weka wazi kua ww ni ccm full stop
watangazaji wengi siku hizi product kama za kona baa....unajichukulia tu ukiwa na cha kumlisha!
 
Yaani anazungumza tuuu kama amekatwa kichwa heti mimi cina chama asie kua na chama huyo ni mfu,hiyo ndio fomla,yaani anaongea matope ktk redio yenye heshima kumbe kweli shule hajaenda huyu bwana na anatumika kuinusuru ccm zembwela maandamano nihaki yetu ili kushinikiza na nihaki ya kidunia na tumezaliwa cku moja na ataondoka mmoja mmja lakini ukweli utakuweka freee zembwela ushanunuliwa so shituka kaka
 
ile sheria mpya ya waandishi habari wa watangazaji ije fasta..........."Kama huna degree wasiruhusiwe kutangaza wala kuwa waandishi habari" sasa Zembwela ana uwezo gani wa kuanalyse issues....poor Zembwela
 
Kanjanja ZEMBWELA mvuta bangi ktk maeneo ya shule ya msingi Reginald Mengi Sinza madukani uelewa wake ni mdogo sana division 5 achana naye huyo
 
Anajaribu kutushawishi tuamini kinacho jadiliwa bunge la katiba kua nisahii hahui kua amani ni tunda la haki,hiviii mtu anae sema hana chama anaakili kweli? Ndani kwako una lipanya linakusumbua sanaa na hutaki kulipelekea sumu sasa siutakua unalipendaa ninamaana ya kua ccm inakula pesa zetu hovyo hovyo kwa nn tusilitafutie sumu! Leo unuponda upinzani! Sitaki tena kusikiliza kipindi cha zembwela yaani leo ningekua karibu yake ningemnasa kibao cja cha nguvu,anazungumzia mambo mazito kiwepeesiiii lijinga hili mbumbumbu hazeeki mwee
 
binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa east africa radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa ccm kwa hilo na utajikosea heshima na radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

Sms za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti ukawa waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni ccm full stop.

nakubaliana na zembwela, ukawa wakajibu hoja bungeni sio kukimbilia nje ya bunge
 
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.

Ndiyo uwezo wake kumlaumu ni kutomtendea haki yake
 
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.

Kwani ukawa ndio MATOPE gani?
 
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.

Utabaki peke yako,clous radio,tv na EA radio wameponda ukawa utakimbia redio station nyingi na muda si mwingi ukawa watapigwa marufuku hapa JF
 
mkuu mbona mtawachukia wengi sana, watanzania karibia wote wamegundua UKAWA ni wazushi

Sio kweli kuwa ukawa ni wazushi sio kabisa,kama hujui naomba niseme na wewe kidogo, ukawa wana hoja, Katiba ni maridhiano sio ubabe au maslahi, CCM Wameshika Mpini ndio maana wanakataa kwa makusudi matakwa ya ukawa kwa sababu yatawaathiri na hasa kwenye uchaguzi.
Kama wewe ni muelewa mzuri katika kutunga katiba maridhiano ni muhimu sana ili kupata katiba ya wananchi inayojali maslahi ya wote, kila kundi katika nchi.
Kumbuka kuwa mapendekezo yaliyokwenda bungeni ni ya wananchi, Hivyo CCM Kutumia wingi wao kupuuzaa maoni ya wananchi sio sawa, walitakiwa wajadili walete kwetu sisi tuone kama itatufaa au la ! hapo ndipo wao wangeanzia.
Na sio kweli kuwa Watanzania wameona ukawa ni wazushi, Vibaraka na wachumia tumbo kama wewe ndio hasa wanaodharau ukawa.
 
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.

We mburula una matatizo sana. Kwa nani aneng'ang'ania kuandamana kama sio UKAWA! Na istoshe usipende kulazimisha watu wote wampende Mbowe, huo ni utashi wake kama unataka kuwa unasikia yanayokufurahisha tu redioni utakufa siku si zako.
 
wanajipendekeza ccm ili wawape ulaji.....wote magamba tu
 
nakubaliana na zembwela, ukawa wakajibu hoja bungeni sio kukimbilia nje ya bunge

Asilimia 90 ya wajumbe wa BMLK ni ccm(by lissu) kwahiyo hawataki kwenda kujadiri rasimu ya ccm wanataka ile ya warioba,ccm wakikubari ile ya warioba wataenda kupambana.
 
Binafsi nilikua napenda sana kumsikiliza zembwela wa East Africa Radio na kuna watu walikua wananicheka sanaa,ila leo katika kipindi chake cha saa tatu mpaka 7 nimeshaangaa ujinga alionao katika kichwa chake na kamfundisha na huyo dada anayekuaga nae yaani mjinga ni mjinga tu, zembwela huwezi iokoa CCM kwa hilo na utajikosea heshima na Radio yako itakosa mashabiki kama zilivyokuwa nyingine.

SMS za maana huzisomi unatunga zako tu unajipendekeza unadhani utapewa ubunge.

Eti UKAWA waandamane wenyewe wewe unaogopa mabomu so nani kakwambia mapigano yakianza yatachagua huyu ni zembwela tusimshambulie. Zembwela shtuka usitumike sanaa eti una chama kweliii!

Sasa upinzani usipo kuwepo unaona itakuwa poa?

Ndugu ninahasira leo umeniudhi sana weka wazi kuwa wewe ni CCM full stop.

mbona waandishi wa habari wa tanzania daima hamuwasemi hivi wanapoaandika mambo ya kichadema?? tuu,na kwanini kila mtu nyie mumlazimishe kuamini ya kwenu hata kama sio sahihi??Nauwalakini na mitazamo yenu,nadhani mtakuwa na uwelewa mdogo katika siasa na demokrasia kwa ujumla
 
Back
Top Bottom