Zawadi ya tatu

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,882
2,762
Miaka ya 90 shule za bweni hasa Moshi zilikuwa na wanafunzi wababe sana. Pale kili boyz mwalimu mmoja wa nidhamu alifanikisha dent 1 kutimuliwa. Dent alimtafuta ticha na kumwambia, "nimefukuzwa kwa ajili yako. Sasa nitakuletea zawadi tatu. Ya 1 kibaba cha mahindi. Ya 2 kibaba cha maharage. Ya 3 ni kifo!" akaondoka akimwacha ticha kaduwaa. Baada ya wk akamletea mahindi. Akamlazimisha kupokea. Baada ya siku 4 akamletea maharage. Ticha alipomuona na zawadi ya 2 akijua ya tatu balaa akazirai palepale. Dent alimwekea pembeni na kuondoka. Sikuwa na ujasiri wa kufuatilia zawadi ya tatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom