Zawadi Nono kwa atakayesema hii picha ilipigwa wapi

Jamani nimetoa jibu na mjadala umefungwa.

Tiba
 
Mmmmh!tafadhali anzisha topic nyengine tujadili iyo kambi ya kakuma.Hata hivyo hongera sana idea yako imekuwa ni nzuri na yenye kusisimua.Tuanzishie bingo nyengine tukomae tupate mtaji.
 
Wadau wa JF, natoa zawadi ya Tshs. 100,000 kwa yeyote atakayeweza kusema bila kukosea kwamba picha hii ilipigwa sehemu gani katika hii dunia.

Update : Ikifika saa kumi kamili jioni leo tarehe 5 February 2014, endapo hakuna atakayekuwa amepatia, nitatoa jibu na kuondoka na laki yangu kibindoni.

Jibu : Hii Picha ilipigwa nchini Kenya eneo la Turkana. Ukitokeo Lodwar kuelekea kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, hii milima iko kushoto kwa barabara kuu. Ni milima iliyojipanga vizuri sana na inapendeza. Ukiangalia ardhi ya eneo hilo ni "semi Arid land" na shughuli kubwa ya wenyeji wa eneo hilo ni ufugaji. Kilimo ni kigumu kweli kweli eneo hilo.

Nasikitika kwamba hakuna aliyepata hivyo naondoka na laki yangu kibindoni. Nawashukuru wote walioshiriki kujaribu kupatambua mahali ilipopigwa hii picha.
attachment.php

Tiba
Dodoma
 
Tunakata rufaa bana....hili swali limetoka nje ya 'silabasi'!....wengi wetu, rightly, tulitegemea ni eneo mojawapo hapa nchini kwetu (Tanzania)! Btw, hilo jina la hiyo kambi linatukanisha kiaina hasa likitamkwa polepole...lolz Tiba :)
 
Last edited by a moderator:
Tunakata rufaa bana....hili swali limetoka nje ya 'silabasi'!....wengi wetu, rightly, tulitegemea ni eneo mojawapo hapa nchini kwetu (Tanzania)! Btw, hilo jina la hiyo kambi linatukanisha kiaina hasa likitamkwa polepole...lolz Tiba :)

Mkuu SMU, quiz ilitaka mtu aseme picha ilipigwa hapa duniani. Hakuna niliposema ni Tanzania kwani kwa kusema hivyo ningedanganya mkuu. Kuhusu jina la hiyo kambi, tuliache lilivyo tu.

Tiba
 
Wadau wa JF, natoa zawadi ya Tshs. 100,000 kwa yeyote atakayeweza kusema bila kukosea kwamba picha hii ilipigwa sehemu gani katika hii dunia.

Update : Ikifika saa kumi kamili jioni leo tarehe 5 February 2014, endapo hakuna atakayekuwa amepatia, nitatoa jibu na kuondoka na laki yangu kibindoni.

Jibu : Hii Picha ilipigwa nchini Kenya eneo la Turkana. Ukitokeo Lodwar kuelekea kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, hii milima iko kushoto kwa barabara kuu. Ni milima iliyojipanga vizuri sana na inapendeza. Ukiangalia ardhi ya eneo hilo ni "semi Arid land" na shughuli kubwa ya wenyeji wa eneo hilo ni ufugaji. Kilimo ni kigumu kweli kweli eneo hilo.

Nasikitika kwamba hakuna aliyepata hivyo naondoka na laki yangu kibindoni. Nawashukuru wote walioshiriki kujaribu kupatambua mahali ilipopigwa hii picha.
attachment.php

Tiba

Hapo n Dsm Maeneo ya Upanga karbu na Diamond Jublee
 
Mhhh wewe hukutaka kutoa tu hiyo hela si ungetoa ya hapa bongo hata kama kijijini ili angalau hata wachache wangepata.sasa huko kenya sisi tungejuaje?? Hiyo laki si bado ipo basi toa picha nyingine ya hapa bongo tujaribu bana
 
Wadau wa JF, natoa zawadi ya Tshs. 100,000 kwa yeyote atakayeweza kusema bila kukosea kwamba picha hii ilipigwa sehemu gani katika hii dunia.

Update : Ikifika saa kumi kamili jioni leo tarehe 5 February 2014, endapo hakuna atakayekuwa amepatia, nitatoa jibu na kuondoka na laki yangu kibindoni.

Jibu : Hii Picha ilipigwa nchini Kenya eneo la Turkana. Ukitokeo Lodwar kuelekea kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, hii milima iko kushoto kwa barabara kuu. Ni milima iliyojipanga vizuri sana na inapendeza. Ukiangalia ardhi ya eneo hilo ni "semi Arid land" na shughuli kubwa ya wenyeji wa eneo hilo ni ufugaji. Kilimo ni kigumu kweli kweli eneo hilo.

Nasikitika kwamba hakuna aliyepata hivyo naondoka na laki yangu kibindoni. Nawashukuru wote walioshiriki kujaribu kupatambua mahali ilipopigwa hii picha.
attachment.php

Tiba
Wewe Tiba hebu na mimi nikuulize swali na unijibu, ukipata unyo laki yangu, wallahi tena!

WATANZANIA WANGAPI WAMEFIKA SEHEMU HIYO TOKA WAZALIWE?
(ukiacha wewe mwenyewe)
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SMU
@Tiba kwakuwa swali lako lilikuwa nje ya Mtaala wetu, inabidi wote tuliojaribu kutaja maeneo ambayo yanafanania na hali hiyo utugawie iyo laki ata kama bukubuku za vocha.
 
Back
Top Bottom