Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Mpe mimba,ni nafuu mnoo
Mtafutie zawadi ya jogoo kama yule wa Somanga mpe suprise.Wakuu nina rafiki yangu wa kike ambae namkubari sana but hatuna mahusiano yakimapenzi (japo some time nakuwa na hisia nae but najizuwia mana ukiendekeza mihemko ya kimwili waweza mtongoza hadi mama yako) so leo kutokana na dharura za kikazi hatukuweza kusherehekea IDDI pamoja. Kanilaumu sana why sijamualika pilau wakati j pili anasafiri ko Nataka aende bila kula pilau? nikamwambia usjali ntakufanyia special surprise kesho hutojutia kukosa pilau la leo.
So Wajumbe naombeni ushauri nimnunulie nini ambacho hata uko aendeko hatokuja kunisahau??
Zawadi / kitu hicho kiwe na sifa zifuatazo.
1: Kiwe cha gharama nafuu.
2: kinachoweza mpa furaha.
3: kitakachomfanya ajue kweli nampenda.
4: ambacho kitamfanya a enjoy kuwa rafiki yangu.
5: ambacho kitaacha alama katika akili yake hata siku tukija gombana awe akikumbuka ananimiss.
Mapenzi yakiwa mpya ndio matatizo kama haya sasa kama ya mleta mada kama vp aonge hata dunia frsh ss tutahama.Hata umpe ulimwengu atakusahau tu
Labda angekua demu wako ukampa mimba angepata mtt asingekusahau
MfireWakuu nina rafiki yangu wa kike ambae namkubari sana but hatuna mahusiano yakimapenzi (japo some time nakuwa na hisia nae but najizuwia mana ukiendekeza mihemko ya kimwili waweza mtongoza hadi mama yako) so leo kutokana na dharura za kikazi hatukuweza kusherehekea IDDI pamoja. Kanilaumu sana why sijamualika pilau wakati j pili anasafiri ko Nataka aende bila kula pilau? nikamwambia usjali ntakufanyia special surprise kesho hutojutia kukosa pilau la leo.
So Wajumbe naombeni ushauri nimnunulie nini ambacho hata uko aendeko hatokuja kunisahau??
Zawadi / kitu hicho kiwe na sifa zifuatazo.
1: Kiwe cha gharama nafuu.
2: kinachoweza mpa furaha.
3: kitakachomfanya ajue kweli nampenda.
4: ambacho kitamfanya a enjoy kuwa rafiki yangu.
5: ambacho kitaacha alama katika akili yake hata siku tukija gombana awe akikumbuka ananimiss.
Akiwa Na Mtoto Akilia Akiumwa Anajua Baba Yake Ni Fulani Hatumi PesaHata umpe ulimwengu atakusahau tu
Labda angekua demu wako ukampa mimba angepata mtt asingekusahau
HahahaMtafutie zawadi ya jogoo kama yule wa Somanga mpe suprise.