Zawadi for my baby

Status
Not open for further replies.
Kwa kweli awa viumbe huwa havieleweki kabisa jamani, na ule usemi wa mchumba hasomeshwi huwa ni sahihi kabisa, naonge hivi nina mfano ulio hai sana kwangu, kuna dem nilimnunulia simu tuuu lakni kwa kutumia hiyo hiyo simu niliyomnunulia aliiitumia kunitenda. Kwa kweli mpaka sasa dem yeyote akitaka nimpatie chochote toka kwangu huwa namuangalia sana, kwani nahisi wote wako hivyo hivyo. So man frederico kuwa makini sana na hivi viumbe, vina akili nyingi sana.
 
Mbona daily anakuja magetoni namchapa nao!we honga magari mi namhonga dudu!
 

Anamthamini ex wake kuliko wewe, that means bado anampenda na si ajabu bado wako pamoja, kua makini usije kuta mtu anakupotezea tu mda wako mwaya
 
Last edited by a moderator:
Masomo magumu na paper huwezi msaidia
ni lazima utachapiwa na Spacio yako
na yeye hatakubali umgande arudie mwaka mwache atoe uchumi wake km ww ulivyomhonga
 
Heheheee et wenzako wanahonga wilaya sembuse kagari!! Mkuu umesema yupo udsm?wanamla tu tena wale wanaomsaidia assignmnt
 
Hq
haaa
 
Nasubiri kumwekea mafuta, au siku akipata pancha tutasaidiana
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…