Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,488
Hivi huyu mange huwa anajua kila kitu? Huwa nashindwa kumuelewa kabisa hamna kitakachofanyika asikosoe.
Eee, kila kitu, afya, biashara, mavazi na fashion, mapenzi na ndoa, malezi, mziki, sayansi, teknolojia, wahalifu, malaya, matusi, vizuri, vibaya....infact yeye ni expert.