Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Mi ningekuwa zari leo nisingekula aisee,,ila pole zari ndio wanaume,,
Na hamisa na dai wanaendana
Na hamisa na dai wanaendana
Mweeeh!...haaa haaaaYaani huyo mondi ni mbwaaaaaaa.....ingekua mimi ndo zari walai akija kuomba msamaha ananikuta getini nnapanga lilinolewa vilivyo kabisa au jambia la maana kabisa shenzi ningemtoa kichwa mara moja msiiiiiiewww mondi kaniboa sana na simshabikii tena mburulaaaa
Una umri gani?!Yaani huyo mondi ni mbwaaaaaaa.....ingekua mimi ndo zari walai akija kuomba msamaha ananikuta getini nnapanga lilinolewa vilivyo kabisa au jambia la maana kabisa shenzi ningemtoa kichwa mara moja msiiiiiiewww mondi kaniboa sana na simshabikii tena mburulaaaa
Zari ana watoto watatu sio wa Mondi sasa Mondi akiwa na kamoja tu no shida halafu wote Zari na Hamisa wanaliwa tuu hakuna Mke halali.Yaani kwa siku ya leo tu natamani niwe zari ....he he he na ninavyopenda vita sasa sijui kama angepona mtu
Na mitoto ni haramu!!Zari ana watoto watatu sio wa Mondi sasa Mondi akiwa na kamoja tu no shida halafu wote Zari na Hamisa wanaliwa tuu hakuna Mke halali.
kwani ni mke yule?Hata sisi tunachepuka wake zetu wanatusitiri basi.
Ila kuchepuka na kuzaa kabisa huko huko uchepukoni
hiyo siyo dharau kwa mke .....huo ni...ujambazi
..........that is abomination
Hio ndoa imefungwa liniHata sisi tunachepuka wake zetu wanatusitiri basi.
Ila kuchepuka na kuzaa kabisa huko huko uchepukoni
hiyo siyo dharau kwa mke .....huo ni...ujambazi
..........that is abomination
Kuna kitu kama nakiona kwa mbaaaaali, Zari anaweza kumkomba fedha Daimond, sijui lakini...
Kwa bahati mbaya zari hana hizo akili kama zako za KiMobeto Mobeto na Kitandale Tandale... She's upstair enough thinks before acting ..Yaani huyo mondi ni mbwaaaaaaa.....ingekua mimi ndo zari walai akija kuomba msamaha ananikuta getini nnapanga lilinolewa vilivyo kabisa au jambia la maana kabisa shenzi ningemtoa kichwa mara moja msiiiiiiewww mondi kaniboa sana na simshabikii tena mburulaaaa
kwani ni mke yule?
Wote sio wake zake , kasome Tanzania marriage act 2002Ushauri wa bure kwa Diamond; anza kuwa na account za siri ambazo utaficha sehemu kubwa ya pesa zako, sasa hivi wote Zari na Hamisa wana nyenzo kubwa za kukunyonya mpaka damu yako ya mwisho, take this very seriously, never ever underestimate women.
Acha maneno yako ya shombo wewe ,kama wewe mwanamke masikini huna mbele wala nyuma unatakwa na wanaume itakuwa zari mwanamke anaejielewa kichwani... Ana biashara zake tofauti na nyie mategemezi mpaka dawa za meno....Zari atulie tu hv na hao watoto watano atamtaka nan labda?atulize kipago akubali yaaishe asijifanye mjuvi itakula kwake kuna wanawake wazuri name very respected ambao nasseb can get them tena wa umri wake sasa akae ajiulize na aache drama from today onwards tena akitaka kujua maisha magumu amuache dai
Tuone kama atamuacha diamond sasaa!!!kwani daimond wa kwanza kucheat Zari atulize kipagooo!Acha maneno yako ya shombo wewe ,kama wewe mwanamke masikini huna mbele wala nyuma unatakwa na wanaume itakuwa zari mwanamke anaejielewa kichwani... Ana biashara zake tofauti na nyie mategemezi mpaka dawa za meno....
FYI zari anaweza kumpata mwanaume anaejielewa zaidi ya Diamond ...