Zari amwambia Diamond "usinijaribu"

Yaani huyo mondi ni mbwaaaaaaa.....ingekua mimi ndo zari walai akija kuomba msamaha ananikuta getini nnapanga lilinolewa vilivyo kabisa au jambia la maana kabisa shenzi ningemtoa kichwa mara moja msiiiiiiewww mondi kaniboa sana na simshabikii tena mburulaaaa
Mweeeh!...haaa haaaa
 
Lakini hivi tumeshawahi kujiuliza hawa wasanii kwa kuwa na skendo kama hizi wanatengeneza pesa kiasi gani?
 
Yaani huyo mondi ni mbwaaaaaaa.....ingekua mimi ndo zari walai akija kuomba msamaha ananikuta getini nnapanga lilinolewa vilivyo kabisa au jambia la maana kabisa shenzi ningemtoa kichwa mara moja msiiiiiiewww mondi kaniboa sana na simshabikii tena mburulaaaa
Una umri gani?!
 
Kuna kitu kama nakiona kwa mbaaaaali, Zari anaweza kumkomba fedha Daimond, sijui lakini...

Wakicheza anawafilisi kweli inatakiwa diamond hii game atumie akili sana na kaligundua hilo ndo mana anataka kukomaa nae
 
Yaani huyo mondi ni mbwaaaaaaa.....ingekua mimi ndo zari walai akija kuomba msamaha ananikuta getini nnapanga lilinolewa vilivyo kabisa au jambia la maana kabisa shenzi ningemtoa kichwa mara moja msiiiiiiewww mondi kaniboa sana na simshabikii tena mburulaaaa
Kwa bahati mbaya zari hana hizo akili kama zako za KiMobeto Mobeto na Kitandale Tandale... She's upstair enough thinks before acting ..
 
Ushauri wa bure kwa Diamond; anza kuwa na account za siri ambazo utaficha sehemu kubwa ya pesa zako, sasa hivi wote Zari na Hamisa wana nyenzo kubwa za kukunyonya mpaka damu yako ya mwisho, take this very seriously, never ever underestimate women.
Wote sio wake zake , kasome Tanzania marriage act 2002
 
Zari atulie tu hv na hao watoto watano atamtaka nan labda?atulize kipago akubali yaaishe asijifanye mjuvi itakula kwake kuna wanawake wazuri name very respected ambao nasseb can get them tena wa umri wake sasa akae ajiulize na aache drama from today onwards tena akitaka kujua maisha magumu amuache dai
 
Zari atulie tu hv na hao watoto watano atamtaka nan labda?atulize kipago akubali yaaishe asijifanye mjuvi itakula kwake kuna wanawake wazuri name very respected ambao nasseb can get them tena wa umri wake sasa akae ajiulize na aache drama from today onwards tena akitaka kujua maisha magumu amuache dai
Acha maneno yako ya shombo wewe ,kama wewe mwanamke masikini huna mbele wala nyuma unatakwa na wanaume itakuwa zari mwanamke anaejielewa kichwani... Ana biashara zake tofauti na nyie mategemezi mpaka dawa za meno....


FYI zari anaweza kumpata mwanaume anaejielewa zaidi ya Diamond ...
 
Acha maneno yako ya shombo wewe ,kama wewe mwanamke masikini huna mbele wala nyuma unatakwa na wanaume itakuwa zari mwanamke anaejielewa kichwani... Ana biashara zake tofauti na nyie mategemezi mpaka dawa za meno....


FYI zari anaweza kumpata mwanaume anaejielewa zaidi ya Diamond ...
Tuone kama atamuacha diamond sasaa!!!kwani daimond wa kwanza kucheat Zari atulize kipagooo!

Tuone kama akiachwa atapata kama daimondi
 
Back
Top Bottom