Zanzibari chonde chonde

Zanzibari chonde chonde

Hoshea

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
5,420
Reaction score
3,776
Msiijtinge msijitenge msijitenge nasema msijitenge.
1. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu, hizi dosari ni za kukaa na viongozi na kuelekezana wapi parekebishwe sio kujitenga,

2. Dhambi ya ataetaka jitenga itamuandama siku zote alisema mwalimu.

3. scientifically proved kina cha maji kinazidi panda bcoz of kupanda kwa joto inosababisha melting ya mabarafu, zanzibar is amongst visiwa vyenye tishioa la kumezwa na maji, watu washapima pembezoni mwa fukwe zenu, zenji inazama mdo mdo, kama una bisha google, where will thy grandsons & daughters shelter themselves, hao wageni wanowahimiza mjitenge wana pa kukimbilia, nyinyi wabantu je?

4. Haya mnajitenga na bara mu watu wamoja now against an enemy tanganyika vidole vyote mnatu point sisi wabara ndo wabaya, mnasahau vitatu vinawapoint nyinyi, nani asiejua pemba na unguja hamuivi chungu kimoja, eti bara iliwagawa ikawatawala, kweli? haya tutaona.

5. Kidole kimoja hakiui chawa, wanowaambia mtakuwa better mkishajitenga wanawadanganya fungueni macho yenu na akili, umeme umeshaletwa, infrastructure inaboreshwa, tourists company zenu zinashirikiana vizuri sana na za kaskazini mkawaulize mambo yalivyo na yanavyozidi kuwa murua upande wao, uvuvi wanashirikiana vizuri sana na dar mtwara tanga hadi kigoma na mambo kibao, katiba hii hapa semeni dukuduku zote sio kujitenga,
siasa siasa siasa inawapoteza wandugu look at de other side of the coin, the future is looking good when we together, matatizo haya tujumuike tuya sought out pamoja, hata uswisi wana matatizo kila mahali kuna matatizo kuyakimbia is not a solution, eti hatuingiliani kiutamaduni that is bloody nonsense, dunia ya sasa inakuwa moja, ts all abt business, wanoungana wana nguvu sana angalia amerika, eu hiyo inakuja, nyie mwataka kimbia? come on fellas.

sijaoa huko sina ndugu wala sijawai kufika. ni mawazo yangu tu na mengine mengi sana ya kusema, muda tu hautoshi. Ila zenji honestly think twice mazee,
If u still insist kujitenga, obviously you will, go on wanasemaga mtoto akililia wembe mpatie.
 
Msiijtinge msijitenge msijitenge nasema msijitenge.
1. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu, hizi dosari ni za kukaa na viongozi na kuelekezana wapi parekebishwe sio kujitenga,

2. Dhambi ya ataetaka jitenga itamuandama siku zote alisema mwalimu.

3. scientifically proved kina cha maji kinazidi panda bcoz of kupanda kwa joto inosababisha melting ya mabarafu, zanzibar is amongst visiwa vyenye tishioa la kumezwa na maji, watu washapima pembezoni mwa fukwe zenu, zenji inazama mdo mdo, kama una bisha google, where will thy grandsons & daughters shelter themselves, hao wageni wanowahimiza mjitenge wana pa kukimbilia, nyinyi wabantu je?

4. Haya mnajitenga na bara mu watu wamoja now against an enemy tanganyika vidole vyote mnatu point sisi wabara ndo wabaya, mnasahau vitatu vinawapoint nyinyi, nani asiejua pemba na unguja hamuivi chungu kimoja, eti bara iliwagawa ikawatawala, kweli? haya tutaona.

5. Kidole kimoja hakiui chawa, wanowaambia mtakuwa better mkishajitenga wanawadanganya fungueni macho yenu na akili, umeme umeshaletwa, infrastructure inaboreshwa, tourists company zenu zinashirikiana vizuri sana na za kaskazini mkawaulize mambo yalivyo na yanavyozidi kuwa murua upande wao, uvuvi wanashirikiana vizuri sana na dar mtwara tanga hadi kigoma na mambo kibao, katiba hii hapa semeni dukuduku zote sio kujitenga,
siasa siasa siasa inawapoteza wandugu look at de other side of the coin, the future is looking good when we together, matatizo haya tujumuike tuya sought out pamoja, hata uswisi wana matatizo kila mahali kuna matatizo kuyakimbia is not a solution, eti hatuingiliani kiutamaduni that is bloody nonsense, dunia ya sasa inakuwa moja, ts all abt business, wanoungana wana nguvu sana angalia amerika, eu hiyo inakuja, nyie mwataka kimbia? come on fellas.

sijaoa huko sina ndugu wala sijawai kufika. ni mawazo yangu tu na mengine mengi sana ya kusema, muda tu hautoshi. Ila zenji honestly think twice mazee, pamoja tuifanye tz moja yenye umoja yenye nguvu kiuchumi, pamoja we can.
If u still insist kujitenga, obviously you will, go on wanasemaga mtoto akililia wembe mpatie.
 
siwatusi wazanzibar, ni kama wamerogwa, wanatamni maisha ya u-mwinyi sana bila kufanya kazi, hata dubai haikuanza hivyo, acheni longolongo chapeni kazi hakuna mwarabu anaevuja jasho kwa ajili yenu, pliiiiiiiiiiiiizz
 
Sikio la kufa halisikii dawa! Usimuamshe aliye lala, utalala wewe!

Tena wacha kabisa kuawaasa hawa Wazanzibari! Waache wajitenge!
 
Hahaahahaha hizo zote ni changamoto, wakijitenga wataziweka sawa! kuendelea kukaa kwenye muungano ni kama kukumbatia bomu. Acheni Zanzibar wajitenge ili wakabiliane na hizo changamoto mapema.
 
Msiijtinge msijitenge msijitenge nasema msijitenge.
1. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu, hizi dosari ni za kukaa na viongozi na kuelekezana wapi parekebishwe sio kujitenga,

2. Dhambi ya ataetaka jitenga itamuandama siku zote alisema mwalimu.

3. scientifically proved kina cha maji kinazidi panda bcoz of kupanda kwa joto inosababisha melting ya mabarafu, zanzibar is amongst visiwa vyenye tishioa la kumezwa na maji, watu washapima pembezoni mwa fukwe zenu, zenji inazama mdo mdo, kama una bisha google, where will thy grandsons & daughters shelter themselves, hao wageni wanowahimiza mjitenge wana pa kukimbilia, nyinyi wabantu je?

4. Haya mnajitenga na bara mu watu wamoja now against an enemy tanganyika vidole vyote mnatu point sisi wabara ndo wabaya, mnasahau vitatu vinawapoint nyinyi, nani asiejua pemba na unguja hamuivi chungu kimoja, eti bara iliwagawa ikawatawala, kweli? haya tutaona.

5. Kidole kimoja hakiui chawa, wanowaambia mtakuwa better mkishajitenga wanawadanganya fungueni macho yenu na akili, umeme umeshaletwa, infrastructure inaboreshwa, tourists company zenu zinashirikiana vizuri sana na za kaskazini mkawaulize mambo yalivyo na yanavyozidi kuwa murua upande wao, uvuvi wanashirikiana vizuri sana na dar mtwara tanga hadi kigoma na mambo kibao, katiba hii hapa semeni dukuduku zote sio kujitenga,
siasa siasa siasa inawapoteza wandugu look at de other side of the coin, the future is looking good when we together, matatizo haya tujumuike tuya sought out pamoja, hata uswisi wana matatizo kila mahali kuna matatizo kuyakimbia is not a solution, eti hatuingiliani kiutamaduni that is bloody nonsense, dunia ya sasa inakuwa moja, ts all abt business, wanoungana wana nguvu sana angalia amerika, eu hiyo inakuja, nyie mwataka kimbia? come on fellas.

sijaoa huko sina ndugu wala sijawai kufika. ni mawazo yangu tu na mengine mengi sana ya kusema, mudna a tu hautoshi. Ila zenji honestly think twice mazee,
If u still insist kujitenga, obviously you will, go on wanasemaga mtoto akililia wembe mpatie.
"huwezi kabisa kulinganisha muungano wa USA au EU na huu wetu hapa. nakukubalia kwa vile hujawahi hatakuja huku, unaongozwa sanana hisia zako, mimi ninayeandika hapa ni muunguja 100%, na ni muumuni wa muungano wa "mkataba" ama na tuuvunje kabisa tukae kama majirani wema, ama ni baya hile, maana wenzetu mnaona kudai haki yetu imekuwa kama nongwa ..... tuna kila sababu na ni haki yetu"
 
Msiijtinge msijitenge msijitenge nasema msijitenge.
1. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu, hizi dosari ni za kukaa na viongozi na kuelekezana wapi parekebishwe sio kujitenga,

2. Dhambi ya ataetaka jitenga itamuandama siku zote alisema mwalimu.

3. scientifically proved kina cha maji kinazidi panda bcoz of kupanda kwa joto inosababisha melting ya mabarafu, zanzibar is amongst visiwa vyenye tishioa la kumezwa na maji, watu washapima pembezoni mwa fukwe zenu, zenji inazama mdo mdo, kama una bisha google, where will thy grandsons & daughters shelter themselves, hao wageni wanowahimiza mjitenge wana pa kukimbilia, nyinyi wabantu je?

4. Haya mnajitenga na bara mu watu wamoja now against an enemy tanganyika vidole vyote mnatu point sisi wabara ndo wabaya, mnasahau vitatu vinawapoint nyinyi, nani asiejua pemba na unguja hamuivi chungu kimoja, eti bara iliwagawa ikawatawala, kweli? haya tutaona.

5. Kidole kimoja hakiui chawa, wanowaambia mtakuwa better mkishajitenga wanawadanganya fungueni macho yenu na akili, umeme umeshaletwa, infrastructure inaboreshwa, tourists company zenu zinashirikiana vizuri sana na za kaskazini mkawaulize mambo yalivyo na yanavyozidi kuwa murua upande wao, uvuvi wanashirikiana vizuri sana na dar mtwara tanga hadi kigoma na mambo kibao, katiba hii hapa semeni dukuduku zote sio kujitenga,
siasa siasa siasa inawapoteza wandugu look at de other side of the coin, the future is looking good when we together, matatizo haya tujumuike tuya sought out pamoja, hata uswisi wana matatizo kila mahali kuna matatizo kuyakimbia is not a solution, eti hatuingiliani kiutamaduni that is bloody nonsense, dunia ya sasa inakuwa moja, ts all abt business, wanoungana wana nguvu sana angalia amerika, eu hiyo inakuja, nyie mwataka kimbia? come on fellas.

sijaoa huko sina ndugu wala sijawai kufika. ni mawazo yangu tu na mengine mengi sana ya kusema, muda tu hautoshi. Ila zenji honestly think twice mazee,
If u still insist kujitenga, obviously you will, go on wanasemaga mtoto akililia wembe mpatie.
Mkuu yote haya yanasababishwa na muundo huu wa muungano wa serikali mbili. As long as utaendelea muungano wetu utakufa.
 
Visiwa vya Zanzibar navizame lakini hatutaki UKOLONI wa Ki-Tanganyika tumechoka kutawaliwa
 
Post ya kipuuzi cjaona point ya maana hapo...kuzama kisiwa na Muungano vitu viwili tofaut.....Tukiwa na Dora yetu tutajua jins ya kukikomboa kisiwa chetuuuuu..........Zanzibar kwanza.....
 
"huwezi kabisa kulinganisha muungano wa USA au EU na huu wetu hapa. nakukubalia kwa vile hujawahi hatakuja huku, unaongozwa sanana hisia zako, mimi ninayeandika hapa ni muunguja 100%, na ni muumuni wa muungano wa "mkataba" ama na tuuvunje kabisa tukae kama majirani wema, ama ni baya hile, maana wenzetu mnaona kudai haki yetu imekuwa kama nongwa ..... tuna kila sababu na ni haki yetu"

Nakuunga mkono. Tuwe na muungano wa shirikisho.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Visiwa vya Zanzibar navizame lakini hatutaki UKOLONI wa Ki-Tanganyika tumechoka kutawaliwa

Wazenji nawaunga mkono kwa kuukataa ukoloni wa Tanganyika. Plse hakikisheni mnaendeleza mapambano hadi mpate uhuru kamili. Tumieni vyema huu mchakato wa katiba kupata uhuru wenu kwa amani.
 
Mueka mada upo bar nn?mlianza na upemba na uunguja na sasa mnakuja na kuzama visiwa,swali,je muungano ndio utatunusuru visiwa visizame?
 
Kero za zanziba hazitatuki kwa kuzikalia chini zimeshaundiwa tume sana tume ya kwanza aliifanya karume na nyerere akaenda karume kwa nyerere na makubaliano aliyoyataka kua baadhi ya vitu. Vya zanzibar visiingizwe ktk muungano na nyerere akajibu muda bado

Nyinyi muna dhahabu gesi na almasi ambazo haziwasaidii wazanzibari ambao ni wabia wenzenu wa nchi ila sisi huku tunataka tuchimbe mafuta munasema yawe ya ushirika

Bodi ya mapato zanzibar kwa mfano gari zote zinakatiwa TRA ambayo hio ni bodi ya mapato kwa Tanzania pia ina ZRB ambayo ni bodi ya mapato zanzibar mtu 1 anatozwa kodi mara 2 jee mbona sisi hatutozi watu kodi huko nasi turuhusiwe tuweke bodi ya mapato sasa kodi za zanziba munachukua nyinyi sisi tutapata wapi pesa ya kuendeleza hichi kisiwa?
 
Waacheni wazanzibar wajitenge bwana kwanini mnawakatisha moyo jamani???...tuwape moyo wajiondoe kwenye huyu kupe Tanganyika anayewanyonya kwa miaka mingi, mimi nawaombea sana wajitenge hata leo tena wamwambie kabisa Obama si yuko hapa leo na kesho ili awasaidie kupata nchi yao.
 
ALIYEKUWA Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume ametoa kauli ambayo inaonekana kukinzana na msimamo wa chama chake na Serikali kuhusu hali ya kisiasa Visiwani.
Akiwaaga wana CCM wenzake baada ya kustaafu nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Zanzibar juzi mjini hapa, Karume alitoa hotuba yenye kuonesha msimamo wa kutaka wanaotaka Muungano usio wa Serikali mbili na wanaochochea vurugu, wasikilizwe na waachwe kuitwa majina ya ajabu.
Katika siku za karibuni, Zanzibar imekumbwa na vurugu na fujo zinazodaiwa kufanywa na Jumuiya ya Mihadhara maarufu kama Uamsho na pia kumeibuka wanasiasa ndani ya CCM wanaotaka Muungano wa Mkataba, kinyume cha sera ya chama hicho inayotambua Muungano wa serikali mbili.
Lakini juzi Karume mbele ya wana CCM zaidi ya 2,000 kwenye Ukumbi wa Kizota, bila kuwataja majina, alisema vurugu za Zanzibar zinafanywa na wanaharakati na siyo wanasiasa.
Karume alikwenda mbali zaidi na kuwataka wanachama wenzake kutokuwa na wasiwasi na kitu walichokiunda wenyewe, akimaanisha Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoundwa na CCM na Chama cha Wananchi (CUF).
Hakuishia hapo, akazungumzia maoni kuhusu mfumo wa Muungano na kueleza, “Maneno maneno madogo ya nini? Kila kitu kimo katika Katiba. Wanatoa maoni yao, tuvumiliane, nongwa ya nini sasa,” alisema Karume.
Katika hotuba yake ambayo wakati mwingine alijikuta katika majibizano na wajumbe wa mkutano huo, Rais huyo mstaafu wa Zanzibar alitaka watu hao wenye msimamo tofauti waache kuitwa majina ya ajabu.
Alisema majina hayo yanajulikana na yeye hakuwa na sababu ya kuyataja. “Acheni kuwaita majina ya ajabu. Halafu mnasema ninyi ni ASP (chama kilichoungana na TANU kuunda CCM), ASP gani?” Alihoji Karume ambaye wakati wa hotuba yake alionesha kadi yake ya ASP aliyojiunga nayo mwaka 1970, kuonesha kuwa ni mwanachama wa muda mrefu wa vyama hivyo.
“Msiwatishe watu, fuateni Katiba kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni yake,” alisema huku akiwaasa vijana kwamba wao ndio wanaotakiwa kutumia hekima na busara katika kuhakikisha chama hicho tawala kinasonga mbele.
Alihoji pia suala la kurudishwa kwa usultani visiwani na kueleza kwamba hilo ni kitu kisichowezekana kwa sababu Sultani mwenyewe amekwishafariki dunia.
Alisisitiza suala la kuvumiliana katika kutoa maoni na mambo mengine, na ilifika mahali wajumbe wa mkutano huo wakashindwa uvumilivu kwake kutokana na kutumia muda mwingi kutoa hotuba na pia pengine kutokana na msimamo wake katika vurugu na siasa za sasa za Zanzibar.
 
MKATABA WA MUUNGANO Baina ya JAMHURI YA TANGANYIKA Na JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR




MKATABA WA MUUNGANO

Baina ya

JAMHURI YA TANGANYIKA

Na

JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR


Kwa kuwa Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa Zanzibar

zinafahamu uhusiano wa muda mrefu watu wake na mshikamano na kukuza

uhusiano huo na kuimarisha mshikamano na kukuza umoja wa watu wa Afrika,

zimekutana na kutafakari Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya

watu wa Zanzibar.


Na kwa kuwa Serikali za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa

Zanzibar, zinapendelea ya kwamba Jamhuri hizi mbili ziungane kuwa Jamhuri

moja huru moja kwa amasharti ya makubaliano yafuatayo:


Kwa hiyo IMEKUBALIWA baina ya Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika na ya

Jamhuri ya watu wa Zanzibar kama ifuatavyo:-


(i) Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa Zanzibar zitaungana na kuwa

Jamhuri huru moja.


ii) Katika kipindi cha kuanza kwa Muungano mpaka Baraza la Kutunga katiba

lililotajwa katika ibara ya (vii) litakapokutana na kupitisha katiba ya

Jamhuri ya Muungano (Kuanzia hapa kitaitwa kipindi cha mpito), Jamhuri ya

Muungano itaongozwa kwa masharti ya ibara ya (iii) mpaka ya (vi).


(iii) Katika kipindi cha mpito katiba ya Jamhuri ya Muungano itakuwa katiba

ya Tanganyika iliyorekebishwa ili kuweka:


a) Chombo tofauti cha kutunga sheria na Serikali kwa ajili ya Zanzibar kwa

mujibu wa sheria zilizopo za Zanzibar na vitakuwa na mamlaka ya mwisho

katika Zanzibar kwa mambo yote isipokuwa yale tu yaliyo chini ya bunge na

Serikali ya Jamhuri ya Muungano;


b) Nafasi ya makamo wawili wa Rais mmoja kati yao akiwa ni mkaazi wa

Zanzibar atakuwa ndiye kiongozi wa Serikali iliyotajwa kwa ajili ya

Zanzibar na atakuwa ndiye msaidizi mkuu wa rais wa Jamhuri ya Muungano

katika utekelezaji wa kazi za Serikali kwa upande wa Zanzibar;


c) Uwakilishi wa Zanzibar katika bunge la Jamhuri ya Muungano;


d) Mambo mengine yatayofaa au kuhitajika ili kuipa nguvu Jamhuri ya

Muungano na mkataba huu.


(iv) Mambo yafuatayo yatakuwa chini ya bunge na Serikali ya Jamhuri ya

Muungano:-

a) Katiba na Serikali ya Jamhuri ya Muungano

b) Mambo ya nchi za nje

c) Ulinzi

d) Polisi

e) Mamlaka yanayohusika na hali ya hatari

f) Uraia

g) Uhamiaji

h) Mikopo na biashara ya nchi za nje

i) Utumishi katika Jamhuri ya Muungano.

j) Kodi ya mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa

forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini na kusimamiwa na idara

ya forodha

k) Bandari, mambo yanayohusu usafiri wa anga, Posta na Simu


v) Bunge na Serikali vilivyotajwa vitakuwa na mamlaka ya mwisho juu ya

mambo yote yahusuyo Jamhuri ya Muungano na kuongezea mamlaka juu ya mambo

yote yahusuyo Tanganyika.


Sheria zote zilizopo za Tanganyika na za Zanzibar zitaendelea kutumika

katika maeneo yao bila kuathiri:-


a) Masharti yoyote yatakayowekwa na chombo chenye mamlaka ya kutunga sheria.

b) Masharti yatakayowekwa kwa amri ya Rais wa Zanzibar juu ya sheria yoyote

inayohusu jambo lolote lililotajwa kwenye ibara ya (iv), na kufuta sheria

yoyote inayolingana Zanzibar.

c) Mabadiliko yoyote kama yataonekana yanafaa au kuhitajika ili kufanikisha

Muungano na mkataba huu.


(vi) (a) Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano atakuwa ni Mwalimu J. K.

Nyerere na ataongoza Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa kufuata masharti

ya mkataba hu na kwa kusaidiwa na maofisa wengine atakaowateuwa toka

Tanganyika na Zanzibar na watumishi wa Serikali zao.


b) Makamo wa kwanza wa Rais kutoka Zanzibar aliyeteuliwa kwa kufuata

marekebisho kama yalivyoelezwa na ibara ya 3, atakuwa Sheikh Abeid Karume.


(vii) Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kukubaliana na Makamo wa Rais ambaye

ni kiongozi wa serikali ya Zanzibar

a) Atateua tume kwa ajili ya kutoa mapendekezo kwa ajili ya katiba ya

Jamhuri ya Muungano.

b) Ataitisha Baraza la kutunga katiba ikiwa na wawakilishi kutoka

Tanganyika na Zanzibar katika idadi itakayoamuliwa likutane katika kipindi

cha mwaka mmoja tokea kuanza kwa muungano kwa madhumuni ya

kutafakarimapendeke zo ya tume iliyotajwa juu na kupitisha katiba ya Jamhuri

ya Muungano.


(viii) Mkataba huu utahitaji kuthibitishwa kwa kutungiwa sheria na Bunge la

Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Jamhuri ya Watu wa Zanzibar kwa

kushirikiana na Baraza lake la Mawaziri, na mkataba kupitishwa na kuundwa

kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano na ya Zanzibar kwa kufuata masharti

yaliyokubaliwa.


KWA KUSHUHUDIA HAPA Julius K. Nyerere, Rais wa Jamhuri ya Tanganyika na

abeid Karume, Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, wametia saini nakala

mbili za mkataba huu, hapa Zanzibar siku ya tarehe Ishirini na mbili ya

mwezi Aprili, 1964.

____________ _________ ______

Umepitishwa katika Bunge siku ya tarehe Ishirini na Tano ya Aprili, 1964.

P. MSEKWA

…………………..Karani wa Bunge


Nathibitisha kwamba Muswada wa Sheria hii ulipitishwa na Bunge kwa mujibu

wa ibara ya 35 ya katiba.

A.S. MKWAWA

……….………………………..Spika
 
2. Dhambi ya ataetaka jitenga itamuandama siku zote alisema mwalimu.

ni mawazo yangu tu na mengine mengi sana ya kusema, muda tu hautoshi.
Ni mawazo yako au ya mwarimu?!

...watu wenyewe (ukiondoa Waislamu) mnaendeshwa na maoni ya mwarimu mpaka leo hii! hamjioni kuwa ni mzigo katika Muungano?
 
Kama sisi ni mzigo kwa nini musitutuwe msigo ukikushinda kuubeba vzr kuweka chini au badilisha mbeleko kwani kuungana lazima tuungane na watanganyika tunasehemu kibao za kujiunga
Tunaweza kujiunga na nchi za visiwa na tukanufaika
Tunaweza kujinga na kenya na tupo karibu sana kuliko tanganyika
Tunaweza kujiunga na nchi za kiislamu

Tumechoka tuacheni tupumue utalazimishaje kukaa na mke asiekutaka au asiekupenda si ukuache
 
nilikuwa chooni sasa nipo bar.
muungano hautavinusuru visizame utawanusuru nyinyi msizame na visiwa
 
Back
Top Bottom