Dishunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 276
- 58
Ni zaidi ya raha kama hali ndio hii
sijui ccm watafanyaje na mtu huyu nafikiri ni kufungasha virago tu
Tusibweteke na tuongeze umakini kwa hawa vibaka CCM wasije kutudhuru kwenye masanduku ya kupigia KURA mpaka tushuhudie Maalim Seif kwa Zanzibar na Edward Ngoyai Lowassa wakiapishwa... Tuombe mungu maana hawa wabishi waliokengeuka na madaraka wakidhani ni wao tu ndio wenye uwezo na Kila kitu hapa Tanzania