delusions
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 5,001
- 1,292
Tatizo kura zanzibar zinapigwa za maruhani sijui kinatokea nini full mazimwi yanaibuka vituo vinachelewa saanaa kufunguliwa vikifunguliwa karatasi hakuna mara magari ya masanduku na kura yanapotea njia utasikia magari kutoka unguja yamekosea njia yametokea pemba mara duhh yaani full zengwe ukija shtuka jionii wapemba kama kawa wanaingia ukimbizini kwa bakora za usiku wanaishi maporini wakirudi kura zeshaa