Zanzibar sio Nchi! Eti ni nini?

:juggle:KATIBA YA SASA YA ZANZIBAR
Ibara ya 3 na 4 ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar inasema hivi:canada:

"Zanzibar ni nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar."

Vilevile, Ibara ya 4 ya sheria ya mabadiliko ya katiba inasisitiza, "Zanzibar ni miongoni mwa nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
Ibara mpya ya 26(1) inayounda "Afisi" ya rais wa Zanzibar inamtaja rais wa Zanzibar kama "… Mkuu wa nchi ya Zanzibar…"
Ibara mpya ya 2A ya Katiba ya Zanzibar inampa rais wa visiwa hivyo mamlaka ya kuigawa Zanzibar katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu wa sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

Ibara mpya ya 24(3) ya katiba ya Zanzibar inasema, kutokana na maombi yanayopelekwa mahakamani kuhusu masuala ya haki za binadamu, uamuzi wa mahakama Kuu ya Zanzibar "… utakuwa ni wa mwisho na hautokatiwa rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ya Tanzania."

HAKUNA TANZANIA BILA YA ZANZIBAR
ZANZIBAR ILIFANYA MISTAKE KUUNGANA NA TANGANYIKA NDIO KUKAUNDWA JINA LA TANZANIA KAMA MUUNGANO HUU USINGELITOKEA BASI KUNGEKUWA HAKUNA JINA LA TANZANIA DUNIANI!!!!!!!!


MAURITIUS , SEYCHELLES, COMORO, VISIWA HIVYO VYOTE NI NCHI KAMILI NA NI MAJIRANI WA ZANZIBAR KATIKA BAHARI YA HINDI NA ZANZIBAR NI KUBWA KI ENEO KULIKO VISIWA VYOTE HIVYO NA POPULATION YA WATU WA ZANZIBAR NI KUBWA KULIKO VISIWA HIVYO!!!!!!!!!!!

WATANGANYIKA TUWACHE TABIA YA KUWAONEA NA KUWATISHA WAZANZIBARI KWA SABABU TUKO NA JESHI, DINI HAISEMI HIVYO TUWACHIE NA NCHI YAO WAFANYE MAMBO YAO KIVYAO KAMA VISIWA VYENGINE TU DUNIANI VYOTE VIKO NA FREEDOM YAO!!!!!!!!
images

Zanzibar ikiwasilishwa katika UN umoja wa mataifa 1963

KAMA WEWE NI MTANGANYIKA HALISI BASI IJUE HISTORIA YA NCHI YAKO KULIKO KUBERULIWA BERULIWA
TUU NA MAJACUC
:focus:


 
zanzibar ni sayari ya 16, umeridhika na chokochoko zako zisizo na kichwa wala miguu?
 
Hisia ni nzuri kwa sababu zinaleta burudani ndani ya moyo. Lakini Real Politik hua haiangalii mioyo inataka nini. Kwenye medani ya Real Politik hakuna nchi duniani inayoitwa Zanzibar. Hata hiyo katiba ya Zanzibar haina nguvu sana. Ili nchi iwepo inabidi itambuliwe na mataifa mengine. sasa kama Zanzibar ikienda kuomba kutambuliwa pasipo makubaliano na URT, nchi nyingi zisingependa kuiboa URT kwa ajili ya Zanzibar - watakataa.
 
Kama muungano ungekuwa wa maana ya undugu basi pasingekuwa na Zanzibar wala Tanganyika, lakini kwa kuwa ni muungano-maslahi kwa viongozi ndio yanazuka haya.
Ukichukulia visiwa vikuu katika bahari ya Hindi katika Tanzania pana Pemba, Unguja na Mafia. Sasa Zanzibar ni makao makuu ya Unguja na hilo huwa linawachanganya mno wengi. Utasikia mtangazaji anasema Pemba na Zanzibar wakati hilo ni kosa, kama unataja visiwa basi ni Pemba na Unguja ila kama utataja miji basi pana Zanzibar, Dole, Chake Chake, Wete na kadhalika.
 
Itambulike Serikali ya zanzibar ni serikali - na wala sio kwa kejeli wala kufanya mzaha - Zanzibar inahistoria yake - sio ya kimkoa wala wilaya. Hakuna wilaya yoyote ama mkoa uliofanya kikao cha muungano ili wajiite tanganyika. historia yetu na mipaka yetu ya kikoloni ndio imejenga utanganyika, na historia hiyo ndio inayoitofautisha zanzibar - na kujenga muungano. Hatuwezi kudharau vitu hivi, kirahisi rahisi tu. Kufunika funika tu kwa kuwa tunapenda muungano.

Ndani ya katiba yetu, tunatambua kabisa zanzibar sio mkoa wala wilaya - kwa ukosefu wa maneno ama uoga wa kujitawala tumeita Tanzania Zanzibar - na ikasemwa kwamba Rais atashauriana kwanza na "Rais wa Zanzibar kabla ya kuigawa Tanzania Zanzibar katika Mikoa, Wilaya au maeneo mengineyo" katiba. Kwahiyo, zanzibar yenyewe sio mkoa wala wilaya !

Hapa Petu,

..kuna kipindi viongozi wa CUF walikuwa na kesi ya uhaini. sasa mawakili wao wakadai kwamba ZNZ si nchi wala dola, na kwa msingi huo haiwezekani kutenda kosa la uhaini dhidi ya serikali yake[znz]. mahakama kuu nayo ilikubaliana na utetezi huo, na viongozi wa CUF wakaachiwa huru. viongozi hao walipofika uraiani wamebadili kauli sasa wanadai Zanzibar ni nchi, ni dola, etc etc.
 
kihistoria zanzibar ni soko, bidhaa nyingi ilokuwa inauzwa hapo na waarabu ni wanyamwezi na wamakonde, kama kuna mtu anajua lini hili soko liligeuka kuwa nchi anijuze!
 
Ha ha ha ha ha! Utalii wenyewe wa Zanzibar uko wapi? Watalii wenyewe wanaungaunga kutoka Bara. Muungano ukifa na utalii wasahau - hiyo ndio habari japo chungu masikioni. Sana sana hilo ni shamba la karafuu tu.

Pesa za mashamba ya Mikarafuu ndio zilizokufanya wewe ukawepo duniani! Angalia vizuri inawezakana ukaona raha kuandika kumbe ukawa unajitukana mwenyewe kama si kumtukanisha m%#*%m%.. !
 
ukiona kijana analazimisha kuitwa familia tofauti na familia ya baba yake na hajaoa wala hana mtoto ujue huyo ni chizi.
anamtukana baba yake,

zanzibar haiwezi kuwa nchi na wote watakaoleta chokochoko tunawafungulia kesi ya uhaini.
 
:juggle:KATIBA YA SASA YA ZANZIBAR
Ibara ya 3 na 4 ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar inasema hivi:canada:

"Zanzibar ni nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar."

Vilevile, Ibara ya 4 ya sheria ya mabadiliko ya katiba inasisitiza, "Zanzibar ni miongoni mwa nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
Ibara mpya ya 26(1) inayounda "Afisi" ya rais wa Zanzibar inamtaja rais wa Zanzibar kama "… Mkuu wa nchi ya Zanzibar…"
Ibara mpya ya 2A ya Katiba ya Zanzibar inampa rais wa visiwa hivyo mamlaka ya kuigawa Zanzibar katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu wa sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

Ibara mpya ya 24(3) ya katiba ya Zanzibar inasema, kutokana na maombi yanayopelekwa mahakamani kuhusu masuala ya haki za binadamu, uamuzi wa mahakama Kuu ya Zanzibar "… utakuwa ni wa mwisho na hautokatiwa rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ya Tanzania."

HAKUNA TANZANIA BILA YA ZANZIBAR
ZANZIBAR ILIFANYA MISTAKE KUUNGANA NA TANGANYIKA NDIO KUKAUNDWA JINA LA TANZANIA KAMA MUUNGANO HUU USINGELITOKEA BASI KUNGEKUWA HAKUNA JINA LA TANZANIA DUNIANI!!!!!!!!


MAURITIUS , SEYCHELLES, COMORO, VISIWA HIVYO VYOTE NI NCHI KAMILI NA NI MAJIRANI WA ZANZIBAR KATIKA BAHARI YA HINDI NA ZANZIBAR NI KUBWA KI ENEO KULIKO VISIWA VYOTE HIVYO NA POPULATION YA WATU WA ZANZIBAR NI KUBWA KULIKO VISIWA HIVYO!!!!!!!!!!!

WATANGANYIKA TUWACHE TABIA YA KUWAONEA NA KUWATISHA WAZANZIBARI KWA SABABU TUKO NA JESHI, DINI HAISEMI HIVYO TUWACHIE NA NCHI YAO WAFANYE MAMBO YAO KIVYAO KAMA VISIWA VYENGINE TU DUNIANI VYOTE VIKO NA FREEDOM YAO!!!!!!!!
images

Zanzibar ikiwasilishwa katika UN umoja wa mataifa 1963

KAMA WEWE NI MTANGANYIKA HALISI BASI IJUE HISTORIA YA NCHI YAKO KULIKO KUBERULIWA BERULIWA
TUU NA MAJACUC
:focus:



Ni kweli lakini sheria ya Zanzibar kama nchi imebebwa na katiba ya Jamhuri ambapo mamlaka ya Zanzibar ni nusu si kamili.
 
ukiona kijana analazimisha kuitwa familia tofauti na familia ya baba yake na hajaoa wala hana mtoto ujue huyo ni chizi.
anamtukana baba yake,

zanzibar haiwezi kuwa nchi na wote watakaoleta chokochoko tunawafungulia kesi ya uhaini.
Historia zinaonyesha visiwa na nchi nyingi zinaomba uhuru wao, Sudani ya kusini imefanya hivyo. Ila gharama ya uhuru katika Tanzania itakuwa nini nini? Kama tunaangalia hilo, basi tujadili kwa mapana bila kutoa dharau kwa Zanzibar
 
kihistoria zanzibar ni soko, bidhaa nyingi ilokuwa inauzwa hapo na waarabu ni wanyamwezi na wamakonde, kama kuna mtu anajua lini hili soko liligeuka kuwa nchi anijuze!
Mwaka 1987 utumwa ulifugwa Zanzibar chini ya Sultan Hamoud Muhammed kwa matakwa ya waingereza. Mwaka Dec, 1963 ilipata uhuru wake toka kwa muingereza. Mapinduzi 1964 kama tunavyofamu muungano wetu
 
Hii imekaa vizuri kaka. Zanzibar ni wilaya kama Bagamoyo vile. Haha ha ha ha ha!
Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ina mamlaka ya kujiamulia mambo yake ya ndani kama uvuvi, kilimo, maji ya kunywa nk! Hivyo kimataifa Zanzibar haina mamlaka wala haki ya kijiwakilisha. Zanzibar haiwezi kuwa na jeshi lake la ulinzi vinginevyo itahesabiwa imeasi na adhabu ya muasi inafahamika. Rais wa Zanzibar hawezi kuwa amiri jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama.
 
Sheria ya mwaka 1992 Na. 4 Ibr. ya 3 Inaweka wazi kua Tanzania ni Jamhuri ya Muungano, Kwamba Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar,na na pia eneo lake la bahari ambalo Tanzania imepakana nalo...Yatosha tu kusema kwamba hakuna Zanzibar nje ya Muungano...Nje ya Muungano kuna Tanganyika,Kisiwa cha Unguja,na Kisiwa Cha Pemba...Thus all...
 
kwa sas ZNZ si nchi ila kabla ya muungano ilikua nchi. ZNZ ni sehemu ya JMT na ndivyo katiba ya JMT inavyosema hivyo katiba ya ZNZ iko chini ya katiba ya JMT. Kilichopo ni yakua kisiasa ZNZ imepewa utawala wa ndani ktk mambo kadha wa kadha. Je wawezekanaje nchi isiwe na jeshi?mipaka ya kimataifa na mabalozi?. kwetu siye wengine rais wa znz ni kama tu rais wa real madrid na barcelona nk
 
Kwa hesabu za vijiti nauliza moja + moja ni ngapi? Ili visiwa vya Unguja na Pemba viweze kuitwa nchi it's very simple. Umoja wa Africa una nchi ngapi Kama ukiona nchi inayoitwa Zanzibar then Nitumie private massage nitakupatia Usd 2000 through your bank account. Kama ukiona Noma then nenda Umoja wa Mataifa unionyeshe nchi ya Zanzibar. Ukiona vigumu nitajie Balozi wa Zanzibar Kigali - Rwanda. There is only one Tanzania in the name of United Republic of Tanzania. Shein anitue niwe Balozi wa Zanzibar Iran. Kama Hilo haliwezekani Wazanzibari ni watani tu hawana nchi. Hiyo SUK ambayo imeundwa na kuvunja Katiba ya Jamhuri it's not a good precedence kuna siku CCM wataulizwa majibu. Kama hawautaki Muungano then wauvunje na maneno ya Hayati Kambarage yatatimia within three years!
 
Nyerere alikosea sana wakati wa muungano kuwaachia nchi yenu. mzee karume alikuwa ameshakubali kuwa makamu wa rais, tanganyika ingekufa na zanzibar ili izaliwe tanzania. sijui ilikuwaje wao nchi yao ilibaki, faster nyerere angefanya uwe mkoa, leo wangekuwa hawana kelele tena
 
Back
Top Bottom