Zanzibar: Rais Shein aongeza mshahara kwa asilimia 100

NJALI

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
1,534
1,090
Leo Rais wa Zanzibar amesema watumishi wa umma wameongezewa mishahara kwa 100%, kima cha chini kimrpanda toka 150000 hadi 300000.

SASA MAGUFULI SIJUI ATAONGEZA NGAPI? AU SISI BARA SOTE NI WATUMISHI HEWA?

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dr Ali Mohamed Shein ametoa hotuba ya kuvutia sana na amepandisha mishahara kwa watumishi wa umma Zanzibar, Aidha katika kupanda huko kwa kima cha chini kutoka 150,000 hadi 300,000 ( 100%) katika kuadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar hivyo kuamsha ari kwa watumishi hao.
 
Sijapata msikiza Rais Mteule, ila kama amefanya hilo, HONGERA kwa kuwakumbuka Wanyonge kwa vitendo.
 
Leo Rais wa Zanzibar amesema watumishi wa umma wameongezewa mishahara kwa 100%, kima cha chini kimrpanda toka 150000 hadi 300000.

SASA MAGUFULI SIJUI ATAONGEZA NGAPI? AU SISI BARA SOTE NI WATUMISHI HEWA?
Hiyo ni mishahara iloahidiwa tokea kampeni na mpaka leo hii kilichopanda hakionekani
 
Kwani huku bara kima cha chini ni ngapi ..........Maana msilinganishe na ZNZ,kumbe wenyewe pengine walikuwa chini mno.
 
Walipandisha Tokea Bajeti ya July 2015, Lakini utekelezaji wake utaanza April 2017
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dr Ali Mohamed Shein ametoa hotuba ya kuvutia sana na amepandisha mishahara kwa watumishi wa umma Zanzibar, Aidha katika kupanda huko kwa kima cha chini kutoka 150,000 hadi 300,000 ( 100%) katika
kuadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar hivyo kuamsha ari kwa watumishi hao.
 
Kwa mapato yepi hata awape 150,000 na kuwa 300,000? Naangalia lakini sijaona mapato (kodi) za serikali kupanda kwa % yoyote ile.


Ndukiiiii
 
Kwa mapato yepi hata awape 150,000 na kuwa 300,000? Naangalia lakini sijaona mapato (kodi) za serikali kupanda kwa % yoyote ile.


Ndukiiiii
Mapato ya nini si mgao wa Muungano tu unatosha.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dr Ali Mohamed Shein ametoa hotuba ya kuvutia sana na amepandisha mishahara kwa watumishi wa umma Zanzibar, Aidha katika kupanda huko kwa kima cha chini kutoka 150,000 hadi 300,000 ( 100%) katika
kuadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar hivyo kuamsha ari kwa watumishi hao.

Huyu naye aliahidi hio laki 3 tangia wakati wa kampeni! Sasa zaidi ya mwaka analeta stori hizo hizo za laki 3. Usishangae hata sherehe za mwaka 2018 ukasikia akirejea ahadi hio hio. Ahadi hii naona ni sawa na ile ahadi ya zile milioni 50 za kila kijiji!
 
Safi sana. Hongera shein. Huku mwenzako tumbua tumbua ndiyo habari ya mjini. Ajira na mikopo hataki kutoa, no increment na kupandishwa madaraja. Yaan kageuka ka mungu mdogo hiv. Na SASA HIVI KAANZISHA UHAKIKI USIOSHA ILI AWAKOMOE WATU.
HAPA TUNASIKILIZIA SIJUI KESHO ATATUMBULIWA NANI?
 
Shein yuko kimya ila smarter sana, kuna kitu spirit inatakiwa kujifumza
 
Back
Top Bottom