hii ndio tofauti ya Rais wa sasa, Dr. Hussein hasiti kufanya maamuzi inapo bidi bila kujali nani ni nani, ilimradi tu masilahi ya znz yanazingatiwa.
Kwa mwendo huu naamini Znz itabadilika sana sana ktk maendeleo,
Azindua kiwanda kikubwa cha kuzalisha injini za pikipiki
Kesho atafanya ziara ktk hydropower station ya tatu kwa ukubwa barani afrika hapo mchamba wima(mfano tu wa eneo)
Ila hii tengua tumbua teua haina tija. Ni juzi tu hapo wafanyakazi karibia 4000 walio ondolewa utumishi mwaka 2017 wameelekezwa kurejeshwa ktk nafasi zao
Azindua kiwanda kikubwa cha kuzalisha injini za pikipiki
Kesho atafanya ziara ktk hydropower station ya tatu kwa ukubwa barani afrika hapo mchamba wima(mfano tu wa eneo)
Ila hii tengua tumbua teua haina tija. Ni juzi tu hapo wafanyakazi karibia 4000 walio ondolewa utumishi mwaka 2017 wameelekezwa kurejeshwa ktk nafasi zao