mzee lyandi
Member
- Apr 24, 2012
- 8
- 0
Ni wiki mbaya kwa watanzania wenzetu wanaoishi tanzania visiwani kutokana na vurugu zinazoendelea. Imefika wakati sasa swala hili lichunguzwe kwa umakini je, kuna makundi ya wanaharakati ambayo hayataki muungano, au kuna viongozi wanatumia wanaharakati kuukataa muungani au ni wazanzibar wote hawautaki muungano.
Naomba wanajamii wenzangu mnijulishe nini hasa chanzo cha machafuko huko zanzibar. mungu ibariki tanzania iepuushe na machafuko.
Naomba wanajamii wenzangu mnijulishe nini hasa chanzo cha machafuko huko zanzibar. mungu ibariki tanzania iepuushe na machafuko.