Zanzibar: Kweli CCM ni kiwanda cha matusi

Zanzibar: Kweli CCM ni kiwanda cha matusi

Huyu shein anavaa sandals kwenye events za kitaifa kweli?hawa jamaa mbona mazezeta sana hawa
Alipokuwa Bara alikuwa anavaa suti na tai hata heshima yake iliongezeka, karudi ZNZ....aaaaaaagh kwisha habari yake.!!!
 
hawa jamaa walikokifikisha chama ndio kunawafaa hakuna mkubwa wala mdogo pengine wanajindanganya hata wao kwa o ndio panaposhangaza yaani huwezi kutofautisha professor, Doctor, na Darasa la form four pengine hata la saba. mawazo yao hayana utofauti na mtoto anajifunza kuongea ataongea chochote maana hajui ndio hapo ccm ilipofikia kwa sasa.
 
KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA CCM ULIOFANYIKA TAREHE 04/11/2012 (HIGHLIGHT 2) - YouTube

WWW-you tube.com/watch?v=_G6l9uJ8uoI&feature=player_embedded

Hakuna shaka kuwa hawa wahuni wanapata baraka zote kutoka kwa Mwenyekiti wa chama chao Rais Jakaya Mrisha Kikwete na Makamo Mwenyekiti na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mh Ali Mohammed Shein.

Kama kweli hawa watu nilio wataja na vyeo vyao vikubwa wangekuwa niwaungwana na viongozi wenye maadili na utamaduni mzuri na mila za Kizanzibar na Tanzania kwa ujumla basi wasingali subutu kuwaruhusu wahuni hawa wasiokuwa na Heshma na maledhi mazuri kutukana watu na kuwakashifu watu wenye hishima kubwa katika jamii yetu ya wazanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Katika Baradha Tukufu la Iddi Lililosaliwa Zanzibar hivi juzi na hutuba kali ya Rais wa Serekali ya Mapinduzi ya watu wa Zanzibar Alhaji Mohammed Shein, alikemea vikali kuhusu mtu yoyote atakae sababisha kuvunjika kwa hali ya amani na utulivu ulokuwepo hivi sasa chini ya serekali ya Umoja wa Kitaifa.

Mh Shein alisema hato mruhusu mtu yoyote au kikundi chochote chenye kusababicha fujo,juki na fitna ili hali ilokuwepo kutoweka, alisema amani na utulivu ulopo umeharimu samani kubwa ya Wazanzibar na Tanzania kwa ujumla, kwa hio atawachukulia hatuwa kali wale wenye kusababicha fujo na mwisho akamaliza kusema uvumilivu umekwisha.

a).Sasa tumulize Mh Rais hawa wanachokifanya kinaashiria nini katika Amani ya nchi yako?

b). Jee Mh Rais hawa wafuasi wa Chama chako ukiwa wewe ndio kiongozi chama chao na Rais wa nchi hii umewapa lesen ili watukane watu wenye hishima hazarani matusi ya laana ?

Nchi unaipeleka wapi cheni katika Style hii? au hujuwi kuwa mchunga ataulizwa kwa alicho kichunga? hujuwi kuwa una zima mbele ya Allah?.

Nchi unainakamiza Mh na wewe ndio kiongozi wa nchi na utasailiwa na M/mungu kutokana na uongozi wako na umekubali kuwa kiongozi basi usisahau kuwa umekuwa na hivi sasa zamana na zima ya wananchi wa Zanzibar iko katika mikono yako , uwe ccm ,uwe cuf ,uwe huna chama lakini madamu ni kiongozi wa nchi basi watu wote wenye vyama na wasio na vyama walio kuchaguwa na wasio ni watu wako na ilitakikana usi baguwe kutokana na itikadi za vyama.

Jee Mh Nchi unaipeleka wapi, jee hizi ni siasa au chuki na matukano ya vijana wako?

Umekemea Kuuliwa kwa askari koplo na kuchomwa moto kwa maskani Mama Kisonge, jee kwa nini hukufanya haki kwa raia wako walouliwa kwa kupigwa risasi na wafuasi wako wa Jeshi la Polisi akiwemo mtoto wa miaka 14 alokuwa anatamani kuvuta hewa na kupata fadhila kutoka kwa Mola wake Allah kama vile Allah anapo kupa fadhila zake za kuvuta punzi yake na kutowa pasipo hata kulipa Kodi ?.

Jee Shein Nchi unaipeleka wapi?


Mungu ibariki Zanzibar na watu wake na utulinde na wenye zamira mbaya katika nafsi zao.
Huu up...zi mnatuletea kero tu huku kwetu , muulizeni Seif Sharrif mjuaji ili mpate jibu la maswali yenu.
Halafu Zanzibar ni Nchi, mnakera nchi za wenzenu kwa kutusukumizia matatizo yenu.
 
Rais yeyote yule ambaye ni MWISLAM daima anakuwa DHAIFU.

Haya ndio mawazo ya great thinkers hapa JF. Yapo biased mno. Juzi tu CDM wakizuiwa kuandamana walikuja juu eti wana haki ya kuandamana. Leo Waislam wakizuiwa wanafurahia. Acheni hizo ndg zangu.
 
Haya ndio mawazo ya great thinkers hapa JF. Yapo biased mno. Juzi tu CDM wakizuiwa kuandamana walikuja juu eti wana haki ya kuandamana. Leo Waislam wakizuiwa wanafurahia. Acheni hizo ndg zangu.

Waislam hawakutaka kuandamana, walitaka kwenda kuvamia makanisa kunywa divai
 
Haya ndio mawazo ya great thinkers hapa JF. Yapo biased mno. Juzi tu CDM wakizuiwa kuandamana walikuja juu eti wana haki ya kuandamana. Leo Waislam wakizuiwa wanafurahia. Acheni hizo ndg zangu.
Mtu akiwa Mwislam anakuwa dhaifu automatically!
 
Na rais yyte kafiri anakuwa mwizi muuwaji dictator mshenzi mafia

Ila si anakuletea maendeleo? Tazama ni wakati wa viongozi gani uchumi wa nchi umeshuka na wakati gani uchumi wa nchi umepanda..?? Fikilia kabla ya kutukanana humu...
 
Wazanzibar wana msemo husema ccm imepoteza Dira kimekuwa ni chama kisicho na heshima wala adabu.
 
CCM haijwahi kushinda Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi uingie Tanzania. Siku zote wanalazimisha kushinda. Kwa hiyo CCM zanzibar ilishakufa hila mnaishi na mzimu wa CCM
 
Back
Top Bottom