Zanzibar: Kweli CCM ni kiwanda cha matusi

Zanzibar: Kweli CCM ni kiwanda cha matusi

… nasema namuomba DK Shein na kikwete atahadhari na watu watatu hawa waliomo ndani ya CCM ambao ni Eddy Riyami Mohammed Hashim na Mansoor Yussuf Himid nilisema ikifika wakati tutawawataja na huyu mmoja alichukuliwa Eddy Riyamy kufundishwa mambo ya idara ya uslama lakini mwisho akaasi nasema mwarabu na mambo haya ya CCM wapi na wapi watu weusi wapi kwa nini mnawachukua hawa?

Bwana mdogo

Nafikiri hajui kabisa Historia ya Znz na mchango wa wazee wa hao na wao wenyewe katika mustakabali wa Znz.

Pasi na shaka ametumwa na majirani zenu uleta ubaguzi visiwani kwenu. Ni vema kutahadhari naye na kumuombea kwa Allah amwoneshe njia iliyo sahihi.

 
Sijaelewa, anasema Seif ANAKAZWA?!!?!? nielewesheni hapo tu!
…nakwambieni kitu kimoja wao wanachokiona kibaya ni kulewa tu........ wanalawitiana wana janaba..........anasema yule Jussa hata mtoto wa kusingiziwa hana mimi nina wasiwasi huo sasa kwa njia hiyo kama mtu mzima hata mtoto wa kusingiwa basi nathibitisha kuwa hawa wote wanakazwa.......
 
mmhh! message delivered!


Chama
Gongo la mboto DSM
 
HAWANA ADABU HAWA CCM, WANAONGOZA KWA MATUSI, IVI SEIF C NI MAKAMU WA RAISI? AU NDO CEREMONIAL POST IZI? KUMDHIAKI MAKAMU TENA WA KWANZA WA RAISI NI KUWATUKANA WAZANZIBAR WOTE, NADHAN SERIKAL YA UMOJA WA KITAIFA KWA NIABA YA MAALIM SEIF LAZIMA ICHUKUE HATUA DHIDI YA AWA SJUI AKINA BORAFYA, UYU LAZIMA NI MWENDAWAZIMu PAMOJA ALOKUWA AKIWAHUTUBIA, OTHERWISE ZBA NI NCHI YA MASIALA MATUPU.

aahaa!Kumbe Zanzibar ni nchi?ok sio neno lakini ni ya waarabu au wazanzibari (africans)?Tuache mizaha Zanzibar ni Zanzibar kutokana na Tanzania!Vinginevyo hakukaliki kwa mwendo huu!
 
kwa hiyo ni kweli hayo maneno yamesemwa jukwaani???????????? Toba, ZNZ ni kuna jambo!!! njeya muungano, kuna mapinduzi na untmapinduzi

Hivi kwa mfano akitokea mwendazimu mmoja wa huko Tanganyika akimcharaza mapanga mtu tuseme Watanganyika wote watakua hawana akili?
 
[h=2]Saturday, November 10, 2012[/h][h=3]Hizi ni Siasa au chuki na matusi ..........?[/h]

Hizi ni siasa za kipumbavu kabisa, na tabia hizi kama zikimea kwenye nafsi zetu basi uondoa mfungamano wa kirafiki na kindugu na hata majadiliano yetu hukosa busara na hikma kiasi cha kupelekea kwenye utengano na uhasama katika siasa zetu.


Mwenye hizi tabia usababisha kufungulia madirisha na milango ya kuchukiwa na watu. Japokuwa kila mtu anatarajia apendwe na aheshimiwe na wengine, ndivyo hivyo hivyo, mtu huyo anategemewa awapende na ahifadhi heshima za wengine pia. Na ajiepushe kabisa na kila jambo linalokwenda kinyume na maingiliano mazuri au yanaosababisha kuharibika kwa maelewano na wengine.


Naweza kuuhita ugonjwa huu kwa jina la maradhi ya kimaadili yanayompata mtu, maradhi haya ya chuki na uadui ni miongoni mwa maafa makubwa ya ufanisi na utulivu wa nafsi, yanaotokana na tabia mbaya ya hasira ya kushindwa katika medani ya kutafuta maisha au kushindwa kwako katika kile unachokitafuta katika kuboresha maisha yako, kiasi ya kuvuruga mtiririko wa fikra chanya na kupelekea kuvuruga uthabiti wa kiroho wa mtu.


Tunaomba Serikali ikemee siasa kama hizi mara moja iwezekanavyo la sihivyo itatufikisha pabaya.

Bonyeza Vidio




Posted by Abdul at 6:47 AM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook





[TD="class: reactions-label-cell, width: 1%"]Reactions:[/TD]
 
Hawa hasikushughulishe, ndio mwisho wa upeo wao wa kufikiri. Kama wazazi wao walishindwa kuwapa malezi ya kistaarabu, unategemea kuna mwingine ambaye anaweza kuwarekebisha? Wenye akili wanaohudhuria kwenye hii mikutano yao, wanajua wapi pa kwenda!

Ukimsikiliza Nape na Seif Ali Iddi kwenye ule mkutano wa ufungaji wa kampeni Bububu, utagundua kuwa wameharibikiwa wote kuanzia wakubwa mpaka wajukuu.
 
Hata hivyo hii ndio CCM ambayo CUF mmekuwa mnawasaidia hasa huku bara kujaribu kuua upinzani. Sasa wamewageuka. Sasa mjifunze na muwe wapinzani wa kweli sio waroho wa madaraka kuungana na CCM. CCM wanapaswa waondoke sio kuungana nao kutawala nchi. Nadhani sasa mmejifunza!
 
KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA CCM ULIOFANYIKA TAREHE 04/11/2012 (HIGHLIGHT 2)

MIMI NAWAULIZA WAUNGWANA ? HIZI NI SIASA CHUKI AU MATUSI?


Hakuna shaka kuwa hawa wahuni wanapata baraka zote kutoka kwa Mwenyekiti wa chama chao Rais Jakaya Mrisha Kikwete na Makamo Mwenyekiti na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mh Ali Mohammed Shein.

Kama kweli hawa watu nilio wataja na vyeo vyao vikubwa wangekuwa niwaungwana na viongozi wenye maadili na utamaduni mzuri na mila za Kizanzibar na Tanzania kwa ujumla basi wasingali subutu kuwaruhusu wahuni hawa wasiokuwa na Heshma na maledhi mazuri kutukana watu na kuwakashifu watu wenye hishima kubwa katika jamii yetu ya wazanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Katika Baradha Tukufu la Iddi Lililosaliwa Zanzibar hivi juzi na hutuba kali ya Rais wa Serekali ya Mapinduzi ya watu wa Zanzibar Alhaji Mohammed Shein, alikemea vikali kuhusu mtu yoyote atakae sababisha kuvunjika kwa hali ya amani na utulivu ulokuwepo hivi sasa chini ya serekali ya Umoja wa Kitaifa.

Mh Shein alisema hato mruhusu mtu yoyote au kikundi chochote chenye kusababicha fujo,juki na fitna ili hali ilokuwepo kutoweka, alisema amani na utulivu ulopo umeharimu samani kubwa ya Wazanzibar na Tanzania kwa ujumla, kwa hio atawachukulia hatuwa kali wale wenye kusababicha fujo na mwisho akamaliza kusema uvumilivu umekwisha.

a).Sasa tumulize Mh Rais hawa wanachokifanya kinaashiria nini katika Amani ya nchi yako?

b). Jee Mh Rais hawa wafuasi wa Chama chako ukiwa wewe ndio kiongozi chama chao na Rais wa nchi hii umewapa lesen ili watukane watu wenye hishima hazarani matusi ya laana ?

Nchi unaipeleka wapi cheni katika Style hii? au hujuwi kuwa mchunga ataulizwa kwa alicho kichunga? hujuwi kuwa una zima mbele ya Allah?.

Nchi unainakamiza Mh na wewe ndio kiongozi wa nchi na utasailiwa na M/mungu kutokana na uongozi wako na umekubali kuwa kiongozi basi usisahau kuwa umekuwa na hivi sasa zamana na zima ya wananchi wa Zanzibar iko katika mikono yako , uwe ccm ,uwe cuf ,uwe huna chama lakini madamu ni kiongozi wa nchi basi watu wote wenye vyama na wasio na vyama walio kuchaguwa na wasio ni watu wako na ilitakikana usi baguwe kutokana na itikadi za vyama.

Jee Mh Nchi unaipeleka wapi, jee hizi ni siasa au chuki na matukano ya vijana wako?

Umekemea Kuuliwa kwa askari koplo na kuchomwa moto kwa maskani Mama Kisonge, jee kwa nini hukufanya haki kwa raia wako walouliwa kwa kupigwa risasi na wafuasi wako wa Jeshi la Polisi akiwemo mtoto wa miaka 14 alokuwa anatamani kuvuta hewa na kupata fadhila kutoka kwa Mola wake Allah kama vile Allah anapo kupa fadhila zake za kuvuta punzi yake na kutowa pasipo hata kulipa Kodi ?.

Jee Shein Nchi unaipeleka wapi?


Mungu ibariki Zanzibar na watu wake na utulinde na wenye zamira mbaya katika nafsi zao.
 
Hata hivyo hii ndio CCM ambayo CUF mmekuwa mnawasaidia hasa huku bara kujaribu kuua upinzani. Sasa wamewageuka. Sasa mjifunze na muwe wapinzani wa kweli sio waroho wa madaraka kuungana na CCM. CCM wanapaswa waondoke sio kuungana nao kutawala nchi. Nadhani sasa mmejifunza!

CUF haikuungana na CCM, kilichotokea ni GNU kwa ajili ya kutuliza hali ambayo ilikuwa ikiikumba ZNZ everytime kunapokuwa na uchaguzi. Kosa lilofanywa na CUF ni kutokufikiri vizuri namna ya muundo wa serikali na mamlaka ambayo wangetakiwa kuwa nayo kwa mujibu wa katiba ya ZNZ. That is why unaona CUF ipo kama wazir vivuli! but the idea was good and it is never too late. Likewise, CCM wakikataa kuchange muundo wa serikali iko siku wao ndio watakuja kushika nafasi ya pili, believ you me! hapo ndipo utakapokujakusikia CCM wanalalamika na wao!
 
Kwani huyu anayeongea ni nani? Nafikiri kwa sasa hiyo ndiyo aina ya siasa za CCM. Hawana tena jipya la kuwaambia watu isipokuwa kuongelea habari za watu. Refer simple minds discuss people.
 
Huyu shein anavaa sandals kwenye events za kitaifa kweli?hawa jamaa mbona mazezeta sana hawa
 
Back
Top Bottom