Zanzibar kuwa na serikali ya mseto?

"It took us more than 200 years of slavery and sufferings to come up with the revolution, na kwahivyo CUF/ZNP watuachie tupoe kwanza na madaraka yetu tuliyoyapata tarehe 12 January, 1964!!!
"

Tutaendeleza chuki na visasi hadi lini? Nina wasiwasi kama muandishi anaitakia mema Zanzibar na TZ kwa jumla[/QUOTE]

Bikirembwe,
Kama ikiwa kuitakia mema Zanzibar na Tanzania ni kuwapa serikali CUF, basi SIITAKII MEMA Zanzibar wala Tanzania.
Wakati wao CUF ushapita. Wametutesa kama walivyoweza - wao na mababu zao na sasa ni zamu yetu kuiongoza nchi! Period!
Mbona sisi tukishinda kwenye chaguzi za huko nyuma na wala siku moja hamkutupa madaraka? Leo tena mkishinda nyinyi mnataka madaraka? You win the elections or not, the government will still be chini ya mkulima na mkwezi!
Tutaendeleza chuki na visasi at least for another 200 years - kama mlivyoendeleza nyinyi. Else, kaeni kimya bila ya midomomidomo yenu ili muishi salama chini ya serikali yetu. Mshatutenda huko nyuma na kwahivyo hatuwezi kukuaminini tena. Mkipata nafasi mtakuja kutufanyia kuliko hayo mliyoyafanya huko nyuma na sote tunalijua hilo!!!
Please, tuachieni tupoe kwanza na madaraka yetu tuliyoyapata tarehe 12 January, 1964!!!
 
"

Tutaendeleza chuki na visasi hadi lini? Nina wasiwasi kama muandishi anaitakia mema Zanzibar na TZ kwa jumla

Bikirembwe,
Kama ikiwa kuitakia mema Zanzibar na Tanzania ni kuwapa serikali CUF, basi SIITAKII MEMA Zanzibar wala Tanzania.
Wakati wao CUF ushapita. Wametutesa kama walivyoweza - wao na mababu zao na sasa ni zamu yetu kuiongoza nchi! Period!
Mbona sisi tukishinda kwenye chaguzi za huko nyuma na wala siku moja hamkutupa madaraka? Leo tena mkishinda nyinyi mnataka madaraka? You win the elections or not, the government will still be chini ya mkulima na mkwezi!
Tutaendeleza chuki na visasi at least for another 200 years - kama mlivyoendeleza nyinyi. Else, kaeni kimya bila ya midomomidomo yenu ili muishi salama chini ya serikali yetu. Mshatutenda huko nyuma na kwahivyo hatuwezi kukuaminini tena. Mkipata nafasi mtakuja kutufanyia kuliko hayo mliyoyafanya huko nyuma na sote tunalijua hilo!!!
Please, tuachieni tupoe kwanza na madaraka yetu tuliyoyapata tarehe 12 January, 1964!!![/QUOTE]

Sheikh/Sheikha Lampart,
Ahsante Sheikh/Sheikha Lampart. Najua hayo maneneo umeyasema kwa uchungu sana - ukikumbuka mateso mliyoyapata huko nyuma. Poleni sana ndugu zetu.
Anyway, mimi sitoingia sana huko kwani mambo ya ZNZ siyajui vizuri. Mimi ninastaajabu kwanini huyu Msekwa akaropokwa ovyo kama hivi? Mbona sisi watu wa Bara tunataka tukuchanganisheni nyinyi tena na hao mliowaondoa, wakati sisi huku Bara wala hatuwataji wale tuliyowaondoa? Huyu Msekwa kweli anaitakia kheri ZNZ na Tanzania nzima kwa jumla? Lini kweli watajua kuwa ZNZ inaserikali kamili na haitaki kuingiliwa?
 
Wewe Ngidai . Nenda kule Zenj ukakae na Wazanzibar iwakupashe. Acha kiromoromo chako. Hao unaojitia kuwasemea wanapenda sana mchanganyiko, na wanachanganyika na kila mtu. Kamuulize Ba Hamadi jee hakuchanganywa. Kachukuliwa kutoka Chuo Kikuu- akapewa Uwalimu na cheo pale Nkurumah na Lumumba, akapewa uwaziri, akapewa Ujumbe wa "lujna ya CCM" akapewa Uwaziri Kongozi na hatima yake kamtimba Babu yetu Mzee Wakil. Hivyo wewe huyajui hayo? Acha za kuleta Bwana!!!!
 
Wewe hufai hata kuwepo katika jamii ya binadamu ni RACIST ,halafu mna kitu mnakiogopa si bure ,ila mjue na kutambua mnachokiogopa kwa Seif kinaweza kutekelezwa na mtu yeyote yule ,na kitawaumiza vibaya sana pengine zaidi ya vile mnavyofikiria kutoka kwa Seif ,Seif aliitwa na Nyerere Butiama na Nyerere alitambua kuwa Seif ni kiongozi shujaa ,na Nyerere alimuomba Seif kitu ,hebu yatafute mazungumzo ya Seif na Nyerere ,uone baba yenu wa Taifa alivyomwamini Seif.
Ya Baba wa Taifa unayajua wewe. Wazanzibari- na namaanisha Wazanzibari halisi- wale kule Kusini Unguja na Kaskazini Unguja hawamuwamini Seif. Na narudia tena kama mseto ina maana ya kuturudishia Seif abadan-asilan. Pataimbwa hata hata miaka elfu.
 
wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi....
kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku TBC1 mzee Msekwa alikuwa akihojiwa kuhusu hali ya Zanzibar. katika majibu/maelezo yake amesema wao kama chama wanafikiria uwezekano wa kutawala kwa mseto Zanzibar kwa maana ya kuwashirikisha CUF. ameanzia uchaguzi wa 1995,2000 na hata 2005 kuwa mshindi alizidi kwa tofauti ndogo sana na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana though ndio utaratibu tulionao. kwa watu kama Msekwa kusema wanafikiria i guess ndo wanshaamua hivyo!!angekuwa mwanaCCM mwingine ningehisi kuwa ni mawazo binafsi lakini siyo kutoka kwa makamu mwenyekiti wa CCM.
tetesi zingine nilizopata nje ya mahojiano ya Msekwa ni kwamba mkulu wa Zanzibar haafiki ktk hili ndo sababu hata mikutano kadhaa hajahudhuria akitoa visingizio kadhaa......
Naamini kuna mengi watu wanayajua kuhusu hili naombeni mtupe kwa ukamili jamani....


hakuna serikali ya mseto kwani wenye serikali zanzibar sio wazanzibar wenyewe.

ila ni watanganyika waliofanya mapinduzi na watumwa. ambao uengereza iliwapa ngu watanganyika kufanya hayo.

wazanzibar hawawezi kupewa serekali ya mseto ila serikali ya mseto watapewa ;

1.watanganyika ambao ndio waliofanya mapinduzi

2. watumwa ambao jamaa zao watanganyika na bara ya mbali.

3. na vibaraka ambao wengi wao wakiwa katika kisiwa cha unguja.

hakuna kiongozi wowote wa tanganyika anayependa zanzibar kutawaliwa na wazanzibar wenyewe.

tukiitizama historia za zanzibar ni kama kitabu cha roho mtakatifi. na kila mtu yupo kimya hakuna anayesema ukweli juu ya hii.

zanzibar mapinduzi daima vibaraka pamoja na watu hawana uchungu na zanzibar wala kizazi cha baadaye cha wanzanzibar.

historia ya karume kazaliwa mwera mara karume asili ya karume inajulikana .

kifo cha karume kinajulika lakini wanafiki wamekificha.

watanganyika na watumwa na wanafiki wamekula ahadi kuwa nchi hawataitoa na watamwaga dam tena

kikwete hana dini dini yake ni maslahi na hana ukweli.

wazanzibar wanaumia kwani wao sio wauaji.

kama kukiwa na serikali ya mseto zanzibar itarudi upya na kufufuyka leo inakufa kila siku.

watanganyika ndio wanaojaza kisiwa na kutia kura za ccm

tutaendelea mara nyengie umeme sasa hivi utazimwa mgao hapa

 
Serikali ya mseto itawanyima CCM uhuru wa kuongea mikakati yao ya kuihujumu nchi kwenye vikao vya baraza la mawaziri. Ni mpaka hapo CCM watakapokuwa na nia njema na maendeleo ya wananchi wote na siyo manufaa binafsi basi hilo lawezekana.

Kama Karume hataki na wahafidhina wa Zenji wanagomea hilo basi itakuwa ni busara zaidi this time kwa JK kuruhusu matokeo halali ya kura Zanzibar yatangazwe na kwa hilo ni lazima CUF itakuwa mshindi halali.
 
Serikali ya mseto itawanyima CCM uhuru wa kuongea mikakati yao ya kuihujumu nchi kwenye vikao vya baraza la mawaziri. Ni mpaka hapo CCM watakapokuwa na nia njema na maendeleo ya wananchi wote na siyo manufaa binafsi basi hilo lawezekana.

Kama Karume hataki na wahafidhina wa Zenji wanagomea hilo basi itakuwa ni busara zaidi this time kwa JK kuruhusu matokeo halali ya kura Zanzibar yatangazwe na kwa hilo ni lazima CUF itakuwa mshindi halali.
waota ndoto ya Nchana wewe. Kama wapiga kura ni Wa-zanzibari CUF hawawezi kamwe kushinda uchaguzi. Abadan-Asilan.
 
zanzibar ni ngumu sana siasa zake

maana kuna menge yasiojulikana

moja hata hio serikali ya zanzibar wa kusini hasa wa makunduchi wanajitahidi kutaka kuikamata peke yao, wanajitahidi kupeana vyeo vingi na kuwatupa wenzao wa kaskazini nje

sasa sikwambii wapemba watapata wapi nafasi ktk serikali hio


katizame tume ya uchaguzi ya zanzibar halafu uangalie wafanyakazi wa juu wangapi kutoka kaskazini angalia wizara ya elimu zanzibar wakurugenzi na hata walimu wakuu utaona huo ukweli

hawa wa kusini mie nawafanannisha na wayahudi zanzibar ni ngumu umoja wa zanzibar utaendelea kusambaratika ikiwa hatujajipanga
 
zanzibar ni ngumu sana siasa zake

maana kuna menge yasiojulikana

moja hata hio serikali ya zanzibar wa kusini hasa wa makunduchi wanajitahidi kutaka kuikamata peke yao, wanajitahidi kupeana vyeo vingi na kuwatupa wenzao wa kaskazini nje

sasa sikwambii wapemba watapata wapi nafasi ktk serikali hio


katizame tume ya uchaguzi ya zanzibar halafu uangalie wafanyakazi wa juu wangapi kutoka kaskazini angalia wizara ya elimu zanzibar wakurugenzi na hata walimu wakuu utaona huo ukweli

hawa wa kusini mie nawafanannisha na wayahudi zanzibar ni ngumu umoja wa zanzibar utaendelea kusambaratika ikiwa hatujajipanga
Mtu wa Pwani . Tafadhali acha upuuzi huo. hakuna mtu anayejinasibu kwa sababu ya U-makunduchi? Hiyo ni hoja muflisi, Tafadhali Ndugu yangu. Chonde chonde. Usiwatong'onye watu wa kae.
 
Mbona msimamo wa SMZ na CCM Zanzibar ni tofauti, kwamujibu wa Maalim Shamsi Vuai Nahodha anasema serikali ya pamoja na CUF haiwezekani hata siku moja eti kwa kuwa wao na CUF wana sera tofauti na vyama vyenye sera tofauti haviwezi kufanya serikali ya mseto hata siku moja. Aliponiacha hoi bw. Nahodha a.k.a Mzee Wa kubebwa, eti CCM sera yao ni amani na utulivu na CUF sera yao ni fujo na shari kwa hiyo hawawezi kuwashirikisha katika mambo ya serikali. Halafu huyu naambiwa anataka kuwa Rais, tutafika kweli?
 
Back
Top Bottom