Kwanini wanasoma maneno mengi hawana uwezo wa kuchapisha docs au kuweka online wananchi wao wasome? Unajua Tanzania imejaa watu serikalini kama vile ni shule ya vidudu. Sometime its just hard to call yourself Tanzanian, too much to associate yourself with these guys. The point here, hawataki wananchi wasome na kufuatilia huu ujinga wanasoma na ni sawa na kuwanyima wananchi elimu nzuri wakijua wazi kwamba wananchi wakipata shule nzuri wata-challenge incompetency yao....wenyewe watoto wao wapo UK na US kusoma ila wananchi wapate elimu mbovu ya serikali yao. Good job ccm ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.