Hahahahaha! Akianza kunogewa na kupiga vijembe ataiweka pembeni hiyo hotuba.ha!ha!ha kachomekea "Kuna wale waliojiandaa kuapishwa urais sijui wameishia wapi.?"
Huyu ndio unamuamini?!Mkuchika kishavuliwa nguo aibu sana hii
Aaaah, hajaweka tarehe huenda tunaweza tusiufikie maana kasema mwezi ujao labda akija kumaliza hotuba atataja tarehe rasimi.Mwezi ujao hauwezi kufikiwa na binadamu.
Sema mwezi Novemba 2017.
Weka tarehe ya huo mwezi
Hahahahaha! Tunasubiria neno la sikuevansGREATDeal
Mkuu ebu tupishe siye tuongeze siku za kuishi.
Ahahaha.
Serikali ya Awamu ya tano ni futuhi tosha.
Yupo, anawakilisha wakuu wa mikoa bara.Bashite yeye hajafika