kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
tambueni kupanda madaraja ni jambo linalowahusu baadhi ya watumishi kwa wakati fulani na halitawagusa watumishi wote.tunachohitaji ni ile nyongeza iwagusao wote pamoja na hao wanaopanda madaraja ! watumishi wapo zaidi ya laki tano yeye anazungumzia watumishi elfu hamsini na tisa.!!!