card78
Member
- Sep 22, 2018
- 47
- 47
Kwa maono yangu juu ya uongozi wa raisi wa Zanzibar wa sasa ni wazi kwamba Zanzibar itapaa kiuchumi na kuwa sehemu ya kutembelewa zaidi kuliko bara.
Mipango na mikakati ya raisi wa Zanzibar inanipa moyo sana kwani kasi ya utekelezaji wa ilani kwa Zanzibar uko kasi ikizingatia na ukubwa wa eneo, katika kipindi cha miaka mitano naona mageuzi yatakuwa makubwa sana katika uchumi, kijamii na kisiasa.
Mipango na mikakati ya raisi wa Zanzibar inanipa moyo sana kwani kasi ya utekelezaji wa ilani kwa Zanzibar uko kasi ikizingatia na ukubwa wa eneo, katika kipindi cha miaka mitano naona mageuzi yatakuwa makubwa sana katika uchumi, kijamii na kisiasa.