Hivi najiuliza hali hii ya Zanzibar hadi lini mbona sielewi, maana hakuna Rais wala waziri na wananchi wapo njia panda hadi hii leo hawajui kama utakuwepo uchaguzi au haupo..
Kama upo kwa sheria gani zinasema na kama haupo kipi kinachofata..
Nawasilisha kijihoja
Kama upo kwa sheria gani zinasema na kama haupo kipi kinachofata..
Nawasilisha kijihoja