Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,880
eddy riamy hajawahi kuwa mwanachama wa ccm, anawachuuza tu huyo..
haahaaa hiyo
picha chini ni kadi ya nhif?ama medex?
Assist
eddy riamy hajawahi kuwa mwanachama wa ccm, anawachuuza tu huyo..
Tusipotoshe habari,Zanzibar ilikuwepo kama ilivyokuwepo Tanganyika,kabla ya uhuru na baada uhuru wa Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi za kuonekana kwa macho,na kiutawala, wala sio mambo ya kubuni.Hatuwezi kukwepa watu wenye mawazo huru katika mabadiliko au muundo wa Tanzania mpya 2015.Anaye sema ni gharama kuwa na serikali tatu anamapungufu ya kihisabati.Hakuna hata siku mmoja walipowahi kutoa ufafanuzi wa gharama za serikali tatu,tunachokisikia ni headline tu.Familia yeye watoto 3 haina maana familia inatumia gharama mara tatu ya familia ya mtoto 1.Iweje mnaongeza idadi ya mikoa na wilaya kila kukicha?labda hilo ndo tatizo.Rudi darasani.Huu mkoa (Zanzibar) wa Tanganyika (Tanzania) una #makeke !!!!!!!!!!!! Si mchezo.
Aisee nchi jirani mna mambo! Safi sana.
Tanganyika kabla ya kupigana na Rwanda tunahitaji vita ya kirafiki na Zanzibar ....
akili za pruduct ya shule za kata yani chekechea kata, primari kata, sekondari kata, chuo udom kata.
Unaweza vipi kujitoa kwenye kitu ambacho hujaingia ?
![]()
31/08/2013
Mwanaharakati Maarufu Bw Mohamed Riami (Eddy Riami) ametangaza kujiondoa katika Chama Cha Mapinduzi.
Akizungumza katika Kongamano lililotayarishwa na Kamati ya Maridhiano, hii ilikuwa strong speech iliyowahi kutolewa na Bw Eddy Riami amesema yeye sio mwanasiasa, akiwafananisha na Jusa na Mzee Moyo. Bali yeye ni raia kama walivyo raia wengine.
Amewataka Wazanzibar kujitolea kutafuta heshma zao na nchi yao.
Alisema kwamba ni wao ndio waliompigia kura Rais kwani Rais mwenyewe hakupiga kura katika uchaguzi uliopita. Hivyo anajuwa vipi Zanzibar itashinda kabla ya mwaka 2015. Alikuwa akikariri moja ya hotuba ya Mzee Karume alpokuwa anakadiria kuwa Zanzibar haihitaji uchaguzi
hadi baada ya miaka 50.
Ametaka suala la siasa litolewa katika katiba mpya. Vilevile amewataka viongozi wengine kuachana na siasa badala yake kupigania Zanzibar nje ya siasa. Kwani ni siasa ndio iliyoifikisha hapa Zanzibar.
wapeni nchi yao wenyewe hataki tena watanganyika tumekuwa hatuna aibu utadhani nyani,hamna hata mzanzibar mmoja anae taka muungano kwa sasa wanao pigania muungano ni hao viongozi ambao wako serikalini na wanafanya hivyo sababu ya matumbo yao,kwanini isipigwe kura ya maoni zanzibar,serikali inajuwa kabisa kama itapigwa kura ya maoni zanzibar hawawezi hata kupata zaidi ya watu 100 wanao taka muungano kuwapo,waachieni nchi yao bhana
Hata mzee wa lambalamba Bakhresa na wenzake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Aise, kweli nimekumbuka bwn, Shein ndiye rais pekee duniani ambaye hakujipigia Kura, kumbuka kituo chake kilikua Dar na sio Zanzibar and Dar kama sehemu ya Tanganyika, uchaguzi wa Zanzibar haukutuhus.
wapeni nchi yao wenyewe hataki tena watanganyika tumekuwa hatuna aibu utadhani nyani,hamna hata mzanzibar mmoja anae taka muungano kwa sasa wanao pigania muungano ni hao viongozi ambao wako serikalini na wanafanya hivyo sababu ya matumbo yao,kwanini isipigwe kura ya maoni zanzibar,serikali inajuwa kabisa kama itapigwa kura ya maoni zanzibar hawawezi hata kupata zaidi ya watu 100 wanao taka muungano kuwapo,waachieni nchi yao bhana