Zanzibar: Eddy Riyami atangaza kujitoa CCM

Zanzibar: Eddy Riyami atangaza kujitoa CCM

katika statement yako, hujaeleza bayana kama alikuwa mwanachama wa CCM, kwa sisi tusiyowahamu hao watu wa mkoa huo inatupa shida kuwatambua
 
Aise, kweli nimekumbuka bwn, Shein ndiye rais pekee duniani ambaye hakujipigia Kura, kumbuka kituo chake kilikua Dar na sio Zanzibar and Dar kama sehemu ya Tanganyika, uchaguzi wa Zanzibar haukutuhus.

Alafu kumbuka haikua kwa bahati mbaya, Ila ni sheria ya MkAazi hakumruhu kwani haimtambui kama mkaazi wa Znz.

Pia tunagundua kuwa znz ndio nchi pekee Duniani ambayo Mtalii(asiye Mkaazi) anaweza kugombea Uraisi na akaruhusiwa na Kushinda.

Kifupi Raisi wa znz kwa sasa ni Mtalii.
 
katika statement yako, hujaeleza bayana kama alikuwa mwanachama wa CCM, kwa sisi tusiyowahamu hao watu wa mkoa huo inatupa shida kuwatambua

Akili za pruduct ya shule za kata yani chekechea kata, primari kata, sekondari kata, chuo Udom kata.

Unaweza vipi Kujitoa kwenye kitu ambacho hujaingia ?
 
Asante kuwachana na hao MABUMLA ya CCM ambayo ni madodoji tanayotoka maji na akili ndogo za Viongozi wao Borafia, Nahodha, Bilali na wengine
 
katika statement yako, hujaeleza bayana kama alikuwa mwanachama wa CCM, kwa sisi tusiyowahamu hao watu wa mkoa huo inatupa shida kuwatambua

Haijalishi hayo km alikua mwanachama au vp? Muhimu ni kupigania utaifa wa ZANZIBAR kurudi JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR bc,
 
Aise, kweli nimekumbuka bwn, Shein ndiye rais pekee duniani ambaye hakujipigia Kura, kumbuka kituo chake kilikua Dar na sio Zanzibar and Dar kama sehemu ya Tanganyika, uchaguzi wa Zanzibar haukutuhus.

Dah ! Kumbe ! Sasa huo ubabe kwa wapiga kura halali akina Himid ameutoa wapi ?
 
Alafu kumbuka haikua kwa bahati mbaya, Ila ni sheria ya MkAazi hakumruhu kwani haimtambui kama mkaazi wa Znz.

Pia tunagundua kuwa znz ndio nchi pekee Duniani ambayo Mtalii(asiye Mkaazi) anaweza kugombea Uraisi na akaruhusiwa na Kushinda.

Kifupi Raisi wa znz kwa sasa ni Mtalii.

eee! Sijakuelewa mkuu , unaweza kwenda deep kidogo .
 
Alafu kumbuka haikua kwa bahati mbaya, Ila ni sheria ya MkAazi hakumruhu kwani haimtambui kama mkaazi wa Znz.

Pia tunagundua kuwa znz ndio nchi pekee Duniani ambayo Mtalii(asiye Mkaazi) anaweza kugombea Uraisi na akaruhusiwa na Kushinda.

Kifupi Raisi wa znz kwa sasa ni Mtalii.

mbona maalim Seif ni mkazi wa Dar? Ana nyumba wapi huko nchi jirani?
 
Back
Top Bottom