Nimeiona kwenye web (Find your Rhythm) yao hii kitu leo maana ni mda mrefu sana net ya zantel niliikacha..sasa nnachojiuliza waungwana...wameweka 20,000/= kwa siku tatu unlimited....naomba kujuzwa kwa wale wanaotumia whats the advantage over 10,000/= for 7days ya voda ambayo mi ndo huwa naitumia mara kwa mara...?? ni kweli ina speed kali kiac cha kuweka bei hiyo au....!!??
If speed is what you need,then such amount is worth it,but i'm not sure if zantel has raised the cost for unlimited bundle,the last time i used it,it was 10,000.