johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Tuliambiwa kwamba ili umkamate/ umteke komandoo mmoja wa Jeshi patahitajikawanajeshi zaidi ya 100 waliopata mafunzo stahiki
Sijajua hawa makomandoo wa Mbowe walikamatajwe au zile za zamani zilikuwa ni story tu na kwamba komandoo anakamatika kikawaida tu?!!
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Sijajua hawa makomandoo wa Mbowe walikamatajwe au zile za zamani zilikuwa ni story tu na kwamba komandoo anakamatika kikawaida tu?!!
Nawatakia Sabato yenye baraka!