Makoja
Member
- Mar 21, 2018
- 33
- 76
Kweli zama Zimebadilika nakumbuka zama zile Tulikuwa tukifunga shule Mzazi anakulipia nauli uende kwa shangazi Dar au Mwanza au Arusha ukifika huko unafurahia likizo mwezi mzima na siku ya kurudi utafungashiwa zawadi hadi raha lkn zama hizi hata ukimwambia Ndugu yako utakuwa na safari yako unakuja Dar kwa shughuli nyingine na utapita kwake kumsalimia anaanza sababu kibao kwamba na hatakuwepo hii yote kukukwepa jamani nini kimetusibu au ndio mambo ya Utandawazi.