Zainabu Kawawa

Anapanua mapafu kupigia kelele kilimo lakini hajui ABC za kilimo! bila zana(machinery) mfumo wa umwagiliaji(irrigation systems) mbegu bora ( improved seeds) pembejeo ( mbolea, madawa) watalaamu na utafiti na huduma za ugani processing industries, masoko access to credit systems n.k kilimo kitabakia kuongelewa kama agenda ya kisiasa kila mwaka, hakuna mtu mwenye nia ya dhati ya kuimarisha kilimo! ukizungumzia kilimo zungumzia kwanza wizara imetengewa kiasi gani na mchanganuo upoje lakini kupanua mapafu tuu wala haina tija, huyu mama angekuwa ni mdau kweli wa kilimo kwenye bajeti kuu angepinga hadi kilimo kitengewe pesa ya kutosha! she is a mediocre!!
hango wa mbunge wa

mkuu nimeupenda sana mchango wa mbunge wa Gairo Mh Shabib kuhusu economics za ku own mchinery na hususan tractor - huwezi ukau categorise mkopo wa tractor katika very short run to short run unless kama utauza "unga" ndo upate hela ya kurejesha mkopo katika kipindi hicho. ni kama unamkopesha mtu apande kahawa ambayo inakuja anza kuzaa miaka minne na unamwambia arudishe mkopo wote mwaka wa pili. Pia kazungumzia pembejeo ambazo ugawaji wake umejaa mizengwe sana. Mbunge huyu anapozungumza unaona kabisa anaishi na kuwafahamu wakulima kwa kina sana. tatizo inaelekea wengi wanatoka kwenye rami na kuingia bungeni - type ya kina mh dr Mzindakaya inaendelea kupotea bungeni.
 
mbona hoja zake na kimo chake vinaendana.mie nadhani ni wakati muafaka kwa wabunge wa mikoa ya kusini kuchangia kwa kuibana serikali kupeleka maendeleo kusini kuliko kupoteza kwa kusifia jk kualikwa G8.
 
mbona hoja zake na kimo chake vinaendana.mie nadhani ni wakati muafaka kwa wabunge wa mikoa ya kusini kuchangia kwa kuibana serikali kupeleka maendeleo kusini kuliko kupoteza kwa kusifia jk kualikwa G8.

Vyema kabisa. Endeleeni kujaza huko hivyo vilaza ili 2015 vizikwe na ukilaza wao. Hadi taifa limechoka kisha kukusanya vilaza kwa faida ya dhaifu. Hiyo kazi maalumu wanayoifanya itawageukia kuwa ngoma na watavuna wanayopanda siku sii nyingi.
 
Zainabu ulinifurahisha sana pale ulipolielezea bunge kuwa wasishangae na kujiuliza kwanini mchango wako wa budget ya ofisi ya waziri mkuu ukawa umejikita kwenye kilimo,na kusema wewe ni mwakilishi wa wafanyakazi na hivyo safari hii ulikuwa unawaongedlea wafanya kazi kwenye mashamba ya mikonge. contradiction kubwa hapo dada yangu.ulitumia muda mwingi kuelezea ni kwa jinsi gani wakulima wasaidiwe kupata hata miliki za ardhi iliwaweze kukopa na kutumia hati hizo kama collateral. sasa hapo sijui ni wafanyakazi wa mashamba au wakulima (peasants) bdo ulikuwa unawasemee. najua hapo ni kama ulikumbuka kuwa unahitaji kuwasema kundi fulani ambalo wewe ni mwakilishi wao. taratibu dada, pangilie hoja zao vizuri ili uweze kuwakisha vyema. kwa elimu yako, ungeweza kuchangie vyema zaidi na kuishauri serikali yako sikivu ya chama cha mapinduzi na si ulivyo fanya. in the the corporate world our assessment on your PM office budget contribution would have been that, my fellow schooler, you have under performed. we have differentiate you zainab (MBA UDSM) na professor maji marefu ( uganga,ramli na uchawi).
 
hango wa mbunge wa

mkuu nimeupenda sana mchango wa mbunge wa Gairo Mh Shabib kuhusu economics za ku own mchinery na hususan tractor - huwezi ukau categorise mkopo wa tractor katika very short run to short run unless kama utauza "unga" ndo upate hela ya kurejesha mkopo katika kipindi hicho. ni kama unamkopesha mtu apande kahawa ambayo inakuja anza kuzaa miaka minne na unamwambia arudishe mkopo wote mwaka wa pili. Pia kazungumzia pembejeo ambazo ugawaji wake umejaa mizengwe sana. Mbunge huyu anapozungumza unaona kabisa anaishi na kuwafahamu wakulima kwa kina sana. tatizo inaelekea wengi wanatoka kwenye rami na kuingia bungeni - type ya kina mh dr Mzindakaya inaendelea kupotea bungeni.
kweli huyu jamaa amegusa pale penyewe nilimsikia na nampongeza sana maana amezungumzia hata Benki ya Kilimo inayoanzishwa! wakulima wameandaliwaje kukopesheka? taratibu za mikopo zimeandaliwa? benki itakuwa wapi? darau kwenye mikoa au vijijini walipo wakulima haya ndio mambo ya kuzungumzia unapotaka kunuia wakulima na kilimo!
 
Sjui ni mimi peke yangu ninayepata shida na aina ya michango ya hawa watoto wa marehemu Mzee Kawawa. Wanaongea vitu vya hovyo sana. Week iliyopita kama mtu-Vita Kawawa alikuwa anasema hakuna shida na deni letu na kuna wakati akalinganisha na level ya madeni ya Marekani na Japan! Leo hii dada mtu anasema kitendo cha Tanzania kualikwa kwenye G8 ni heshma kubwa!

Ukiangalia nchi zinazounda G8 zote zina maslahi Tanzania. Kilichofanyika pale ni uchief-Mangungo na hawa watoto wangejishughulisha kusoma wangejua sio jambo la heshma kama ambavyo wanadai. Nchi kama Brazil, India, South Africa na China etc zimeunda umoja wao- BRICKS, wanaona kabisa G8 sio mahali pao. Kusema tushangilie kuitwa G8 ni sawa na kusema mama ntilie afurahie kuitwa kwenye kikao cha Bakheresa na Mengi! Ni dhahiri huyu mama ntilie atajikita zaidi kuomba na lazima a-trade off something. Sisi tume-trade off nini hawa big boys?

Maskini kawawa alikuwa ni mwadilifu asiye na makuu katuachia mitoto zuzu yasiyokuwa na msimamo mitoto inatembelea NYOTA ya baba yao lakini bado haibebeki jina la MZEE KAWAWA linaweza kufutika nakudharaulika sababu ya hii MITOTO VILAZA.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Huyu alikuwa anaongea ili nayeye aonekane yupo. Hana point yoyote ya maana-utumbo mdogo
 
Ni wazi huyu na kaka yake wamebebwa na surname. Binti yuko shallow
 
Maskini kawawa alikuwa ni mwadilifu asiye na makuu katuachia mitoto zuzu yasiyokuwa na msimamo mitoto inatembelea NYOTA ya baba yao lakini bado haibebeki jina la MZEE KAWAWA linaweza kufutika nakudharaulika sababu ya hii MITOTO VILAZA.

nakubaliana na wewe 100 per cent.
 
Huyu binti ni muathirika wa siasa za matumbo, so long as serkali inawasaidia kula yeye na jamaa zake na vyeo vya ubunge bas ni nzuri hata kama haina uwezo wa kuendesha nchi, so ni mwathirika wa siasa za matumbo, takrima za nchi hii na ufalme wa mamboleo ambapo watoto wa viongozi wanatulazimisha watuongeze baada ya baba zao kustaafu au kufa.

She is too good for nothing; umewahi kumsikia akisema juu ya ufsadi??? hali mbaya ya wananchi? mfumko wa bei??? EPA, Richmond na vitu vya aina hiyo?? yeye na kaka yake wanakula fedha za ubunge kwa mgongo wa uwanja usio na tambalale, hivi kweli lazima wajirudie ukoo wa viongozi wa zamani ktk madaraka ili nchi iende??? shame on them.
 
Si nyinyi mumeanza kuwatangaza wabunge wasiochangia bungeni. Sasa kwanini asichangie hata kama ni pumba ili atoke kwenye kudi hilo la wabunge ma-bubu!
 
hayo ni maono yako! ulipaswa kuyatoa kwa lengo la kujenga na si kulihusisha na chama, pili nakubali kuwa watu wenye fikra mgando kama wenye mawazo yako mpo wengi na wakati mwingine mnaweza hata kuligharimu taifa?
Hilo ni gamba lingine limejipenyeza ndani ya JF.Mawazo mgando ndio unao wewe na chama chako na mumeshaligharimu
taifa tayari.
 
Mbunge wa Gairo ,Shabiby ametouch na kumchana waziri mkuu juu ya sera ya kilimo kwanza kwa point ambazo PM lazima akiri kwamba shule aliyopewa na Shabiby ni ya shahada.ni kama vile Pinda anatumia baiskeli kwenye mbio na Shabbiby anatumia VX.
 
Maskini kawawa alikuwa ni mwadilifu asiye na makuu katuachia mitoto zuzu yasiyokuwa na msimamo mitoto inatembelea NYOTA ya baba yao lakini bado haibebeki jina la MZEE KAWAWA linaweza kufutika nakudharaulika sababu ya hii MITOTO VILAZA.

Wakati ule ilikuwa si rahisi kumsikia Kawawa akiropoka kwa sababu kulikuwa na marking scheme (Nyerere) ya namna ya kuongea na hasa kwa nafasi kubwa aliyokuwa nayo katika serikali yake. Vinginevyo at STP sina uhakika kama alikuwa na tofauti kubwa sana na hawa wanaye katika kuwasilisha mada ukiachilia mbali uadilifu wake usiokuwa na mashaka.
 
Nakupongeza kwa kujilengesha na ujasili wako wa kutetea pumba zako na hiyo ni siri ya mafanikio yako endeleza ubabe na hii ndiyo gharama ya demokrasi
 
why the heki again? why this thread again? what real matter here....touching pipos pesonaliti haimeki sens haya mmemtukana mlivyotaka je imemgeuza nini??? baod na 3 yrs ya mnamsikiliza... why dont we think big...go around issues,,,,yaani unamwanzishia mtu thread kwa mada ambayo bunge karibu lote lina shida hiyo hiyo.......heeey great thinkers commooooon

liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom