Zaidi Ya Visasi, Mafanikio Ya Magufuli Nini?

Mwingereza

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
1,115
2,771
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?
 
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?
Unafikiri mafanikio yanakuja kwa siku moja? Subiri na uwe mvumilivu.
 
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?
Unaulizia mafanikio ndani ya miezi mitano ya utawala wa Magufuli? Mwacheni Rais afanye kazi ya kurekebisha uchafu wenu! Haingii akilini watu wanapewa uongozi kuwatumikia wananchi badala yake wanatumikia matumbo yao! Ndio, mizigo imepungua bandarini kwa sababu watu waligeuza bandari kuwa shamba la bibi yao kupitisha mizigo bila kulipia ushuru. Sasa kuna kibano lazima itapungua. Serikali hii ya Magufuli inayozingatia uadilifu na kutumikia wananchi itajipanga ipasavyo kushughulikia upungufu wowote utakaojitokeza kwa sababu Rais Magufuli ana nia njema kabisa ya kwatumikia wananchi na taifa kwa ujumla. Kama alivyoapa Mwenyezi Mungu amsaidie, atamsaidia tu! Be patient, just wait and see!
 
Mwenye visasi nchi hii anajulikana na Ndio Yule aliye kuwa Anamlinda mkurugenzi wa wanyama pori , kiasi kwamba mkurugenzi akawa na nguvu kupita waziri wake na katibu mkuu wa wizara kisa tu watoto wao wameona, na kutokana na visasi vyake licha ya ghoul ina alizo kuwa nazo ambazo zinaendelezwa na ukanda alikatwa na kamati ya ulinzi na usalama kwa faida ya nchi, fikiria sasa hivi angekuwa Raisi hii scandal ya stanbic ange ifukia
 
Huwa nasikitika sana niunapo nyuzi za aina hii kama ya Mwingereza. Hivi jamani Rais amechelewa wapi hadi kustahili lawama hizi?

Kwa wenye familia tunatambua changamoto za familia zetu, mbona tunapopata fedha hushindwa kuzitatua zote at once? Hivi mnadhani kuiendesha nchi ni kazi ndogo kiasi kwamba within five month Rais anamaliza changamoto zote ? Tena kwa nchi masikin kama yetu.

Nawashangaa sana mnaopinga mpango wa serikali wa kukusanya kodi kila kona, kwangu Mimi ni mpango mzuri kwa maendeleo ya taifa. Na ninaishauri TRA kua waongee na halmashauri zitenge maeneo maalum kwa ajili ya mama lishe na machinga ili nao walipe kodi. Wakadiriwe kulingana na income zao.

Tuwe wavumilivu jamani na tumuombee sana Rais ili aendlee kulisaidia taifa na wanyonge ambao walisahaulika enzi za mkwere.
 
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?
Ccm ni ileile
 
Mkuu vijana wengi mitaani na mashuleni wanasema namba hazisomeki zilivyokuwa ngumu. Mimi namsubiri mpaka 2018 ndio najua kishamaliza ile show yake ya kuranda na tv na waandishi wa habari.
 
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?

Yaah dawa inakuingia utapona tu.
 
even rome wasn't built in a single day,so wait and see, inaelekea wewe baba au mama alkuwa kitengo serikalini, ndo wale wa kuendesha serikal nje ya nchi leo usa,canada kesho uk hata sikulaumu.Am out
 
Moja ya mafanikio ya Magufuli ndani ya mda mchache ameokoa mishahara ya wafanyakazi hewa takribani 7700
Pia ameweza kukarabati miundombinu ya barabara baada ya kuzuia matumizi yasiyokua ya msingi kwenye sherehe kama muungano
Infact yatakuja mafanikio makubwa kuzidi haya, vuta subra utaona
 
Nakumbushia Tu:Raisi Alipe Kodi!
Kwani kwa kutolipa kodi anavunja sheria ya nchi au kwa sababu kawa bania wezi wetu wajadi kuiba na kukwepa kodi ndio inayo chochea kauli Kama yako ?? Tunajua wezi wetu walitegemea kuipata nchi na kujimilikisha kandarasi na investment za rasilimali pamoja na jadi Yao wizi na kukwepa kodi kwani ni halali Yao toka jadi
 
Mafanikio ni makubwa sana

Moja la wazi ni kurudisha morali ya waTZ katika kuipenda nchi yao! Na hili ndo litaleta mabadiliko makubwa zaidi
 
Mimi naamini 99% ya mawaziri na wakurugenzi na viongozi wote ktk selikali ya mkwere walikua vibaka, sasa hawa wako wengi sana pamoja na wapambe wao hivyo vita hii sio ndogo,tatizo ninaloliona ni magu yuko slow na hawa watu wanajipanga wamkwamishe,aongeze spidi ya kutumbua wakalalamikie behind bars
 
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?

Je wewe hadi sasa umeshafanya nini kwa nchi yako ya kuleta maendeleo? Je unatoa risiti au kuomba risiti?
Unadhani hayo maendeleo yatashuka toka angani kama serikali haitakusanya kodi?
Na unadhani maendeleo yatakuja kama kuna watu wanajichukilia mahela kwa ajili ya manyfaa yao? Au labda wewe ni mmoja wao waliokua wakinufaika na ufisadi...
Hali ngumu ilikuepo na tulikua tunalalamika kila siku hapo awali.
 
Bila shaka maisha yamezidi kuwa magumu. TRA inawakamua masikini, huku mizigo bandarini ikipungua kwa kasi. Wahamiaji haramu kila kona ya nchi hasa wachina, na Wakina Doctor Mwaka nao wakirudi kwa nguvu zote.

Tuliadiwa mengi, lakini hatuoni chochote. Serikali inayopenda Camera inajisahau kwamba tunaelekea kwenye mgomo baridi wa watumishi wa umma. Umeme nao umepunnguzwa bei hewa, kwani umeme wenyewe haupatikani unakatwa kila dakika, huku tanesco ikielekea kwenye umahuti wake kutokana na madeni. Mafanikio Ya Magufuli ni nini hadi sasa?
Aaaah ! jamani ! mbona ametaja hata mshahara wake ?
 
Back
Top Bottom