Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,279
Dhumuni lake ni kushae info tu mkuuhii post umeitoa twitter
Haya mbona yalielezwa na bot kipindi noti zinatoka,aidha una umri mdogo au kubwa Kinga lisilofuatilia mambo ya maana,na mtoa mada kipindi hicho alikuwepohii post umeitoa twitter
Kila binadamu Kuna kitu anakijua ambacho wewe hukijui. Cha muhimu tuheshimiane tu.Nimejifunza kitu kipya 🙏🏽