Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 6,084
- 6,089
Hilo ndilo analoliweza na si kuona Tanzania yenye hali nzuri.
Labda kimbinyiko🤣Acheni wivu,mlitaka Rais apande fisi?
Wakuu wa mikoa na wilaya madaraka yao huishia kwenye wilaya na mikoa yao, sasa wanaingia kwenye wilaya na mikoa isiyo yao kufanya nini? Hapa naomba nielimishwe, tuseme rais anatoka Dar kwenda Dodoma anaanza na mkuu wa wilaya ya Ilala na mkuu wa mkoa wa Dar, huyu wa Ilala anaishia Ilala hapo anaungana na wa Ubungo naye haingii Kibaha ambapo mkuu wa mkoa wa Dar haingii. Labda huwa wakuu wote hata wa Kigoma , Kagera, Tanganyika wanakuja Dar kumsindikiza kwenda Dodoma!Huu ni msafara wa rais na wakuu wa mikoa na wilaya au ni nini hiki!