msafara wa rais samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Tizama Hapa: Rasmi Magari Yapunguzwa Katika Msafara Wa Rais Samia ili Kutimiza Ahadi Yake. Yatembea Katika Mfumo Wa Kikomandoo Na Kijeshi

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika,jasiri muongoza njia,nyota ya matumaini na nuru ya Wanyonge. Ni Mama wa Vitendo ,ni Mama anayetimiza anachoahidi na...
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Huu msafara wa Samia barabara ya Bagamoyo, umenishangaza sana. Yaani si magari tu hadi Helicopter mbili angani

    Leo huyu Samia alikuwa anatokea sijui huko kanda ya Kaskazini kurudi Dar basi imekuwa kero, kwanza wametusimamisha zaidi ya dakika 50 hadi yeye anapita, cha ajabu sasa mtu alishida kwa kura Milioni 32 ameongezewa ulinzi mkali zaidi Tulizoe kuona magari tu sasa hivi hadi Helicopter mbili...
  3. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Msafara wa Rais Samia umepata ajali

  4. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya magari 150 Msafara wa Rais Samia

    Wakuu hii tuseme ni ushamba au ndio ulinzi unaimarishwa? Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma, zaidi ya magari 150 msafara wa Rais
  5. Tanzanians

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Rais Samia ukitoka upareni mazikoni kwa Cleopa Msuya

    Magari kama yote
  6. 4

    JamiiForums Tanzania Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

    Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake. Andiko hili litakua fupi sana. Hesabu huwa haidanganyi , Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm...
Back
Top Bottom