bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 2,360
- 2,000
Zahanati ni ngazi ya kwanza kabisa kukutana na Mgonjwa na Asilimia kubwa zikiongozwa na Matabibu/ Co japo hata Nurses pia wanaweza kuongoza, Zahanati kuna changamoto nyingi kama ni rufaa nyingi zinaanzia Huku awe na Mgonjwa wa kawaida au hata Mjamzito.
Ishu inakuja pale baadhi ya dawa kupigwa marufuku kuweko zahanati nikimaanisha kwamba kuna baadhi ya dawa hurusiwi kumwandikia mgonjwa kwa Ngazi ya Zahanati mfano baadhi ya dawa za Pressure/HTN baadhi ya Antibiotic..nk.Na unakuta hapo zahanati Kuna Tabibu ambaye dawa hizo hizo amezisoma akiwa Chuoni tena kwa undani zaidi lakin akifika zahanati anaambiwa haruhusiwi kumwandikia mgonjwa.
Hii Husababisha Clinicians wengi kuonekana wana uwezo mdogo wakati sio kweli,Na hapo hapo huyu Clinicians ikatokea kahamia kituo cha Afya au Hospitali anazikuta dawa hizo na kuruhusiwa kumwandikia Mgonjwa Elimu ya medicine bila kuifanya kwa vitendo unasahau haraka sana ndio unaenda Kituo cha Afya unasahau hata Mg ya Nifedipine unabaki kuandika 1*1*1/12 Sipendi hii napenda 20mg po od 1/12.
Ushauri:
Nafikiri Kuna haja ya Serikali kupitia Sera zake za Afya upya na kuzifanyia marekebisho na kushusha huduma Nyingi zaidi ngazi za chini ili kumwepushia mgonjwa usumbufu sio shida hata machine ya FBP kuwepo zahanati as Longer kuna mtaalamu mzuri wa maabara.
Ishu inakuja pale baadhi ya dawa kupigwa marufuku kuweko zahanati nikimaanisha kwamba kuna baadhi ya dawa hurusiwi kumwandikia mgonjwa kwa Ngazi ya Zahanati mfano baadhi ya dawa za Pressure/HTN baadhi ya Antibiotic..nk.Na unakuta hapo zahanati Kuna Tabibu ambaye dawa hizo hizo amezisoma akiwa Chuoni tena kwa undani zaidi lakin akifika zahanati anaambiwa haruhusiwi kumwandikia mgonjwa.
Hii Husababisha Clinicians wengi kuonekana wana uwezo mdogo wakati sio kweli,Na hapo hapo huyu Clinicians ikatokea kahamia kituo cha Afya au Hospitali anazikuta dawa hizo na kuruhusiwa kumwandikia Mgonjwa Elimu ya medicine bila kuifanya kwa vitendo unasahau haraka sana ndio unaenda Kituo cha Afya unasahau hata Mg ya Nifedipine unabaki kuandika 1*1*1/12 Sipendi hii napenda 20mg po od 1/12.
Ushauri:
Nafikiri Kuna haja ya Serikali kupitia Sera zake za Afya upya na kuzifanyia marekebisho na kushusha huduma Nyingi zaidi ngazi za chini ili kumwepushia mgonjwa usumbufu sio shida hata machine ya FBP kuwepo zahanati as Longer kuna mtaalamu mzuri wa maabara.