ZA MWIZI 40-Maamuzi Magumu

ZA MWIZI 40-Maamuzi Magumu

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
852
Reaction score
204

Wanafunzi 5 walitoroka na kwenda disko usiku , waliporudi asubuhi wakawawamechelewa kufanya TEST. Ikabidi wamdanganye mwalimu kuwa walilala msibani; wakapewa wiki 1 yakujiandaa ili wafanye special test. Siku ya test wakapangwa kila 1 kwenyedarasa lake; na maswali yalikuwa 3 tu.
1. Aliyekufa ni nani?
2. Msiba ulikuwa wapi?
3. Wamezika wapi?
Angalizo/Mwongozo Majibuyanatakiwa yafanane kwa wote 5; tofauti na hilo unakuwa umefukuzwa shule mojakwa moja.
Je, unajuanini kilitokea?
 
Aisee hiyo ni kali

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ningechana karatasi halafu nimwambie anipe barua ya kunifukuza shule maana tulikuwa hatujadiscuss pepa yake
 
Back
Top Bottom