Mkuu unamzungumzia Suleiman yupi huyo.. Ambae hakuwa tajiri..Hata mfalme Suileiman hakuwahi kua tajiri ila kwa busara zake hadi leo hajapatikana kama yeye
eti ngongingoMashaaallah! Ngongingo linavutia kinoma
kwani kazi ya kuhoji na kupeleleza ni makonda au polisi?HABARI NI KUWA ATATOKA SASA HIVI ..KWANI POLISI HAWANA HABARI ZAKE ZA WITO WALA MADAI YOYOTE..WAME MWELEKEZA AENDE KWA MAKONDA..HAHAHHAHAHAHAAHAHAHAHA
ha ha umenikumbusha mbaliManji ni shida anapenda kesi balaa, alimdai mzee mengi shilingi moja tu, ila ile fidia ya kesi yake na mengi ambayo iliisha kwa suluhu sasa atailipa makonda.
Salute kwako Mkuu nimekuelewaSio kweli, Manji anaonekana mweupe kichwani kwa mtazamo wangu, hakukua na sababu ya kuitisha press conference na kuongea ule ujinga
Yeye kama diwani wa mbagala kuu kitendo cha kusema Makonda akimtuhumu ni mpumbavu huoni tayari kamtukana kiongozi wake (diwani kusema mkuu wa mkoa ni mpumbavu hiyo unaionaje? Au kwa sababu ana pesa ndo maana hamuoni huo utoto?)
Kaambiwa aende polisi ijumaa yeye anaenda leo kufanya nini anabeba mawakili 8 wanini nani kamwambia kule kuna kesi?
Kitendo cha kutajwa kwenye media na RC yeye anapanic na kuita wanahabari tatizo liko wapi?
Hoja zake Mara makonda ntamshitaki, Mara makonda ni mdogo wangu huo ni utoto.
Nje ya kua mwenyekiti wa Yanga, ukiachana na udiwani wake Manji ni Mtanzania kama watanzania wengine anapaswa kuvitii vyombo vya ulinzi na usalama.
Hakuna wakili toka nje ya nchi anaweza kufanya kazi Tz bila kupewa kibali cha muda na Jaji Mkuu. Hivi wageni wameshapata hicho kibali ndani ya masaa 24 yaliyopita!? Kama ni kweli basi nasema "shikamoo pesa"Kisheria yuko sawa Polisi hawana haki ya Kumpangia Mtu siku ya Kuripoti ila wana haki ya kumpa taarifa kuwa anatakiwa Polisi. Mahakama pekee ndo hupanga mda na siku. Mawakili 8 na 2 kutoka nje si wa kubeza.
wanayanga wote weka kwenye list ya madawa.. kuna yule karigo e karigo yuko south afrixca .. hawa ndio wale wale
Picha huwa inaifisha ujumbe kuliko hata maneno ya kinywa. Ogopa kamera.
Kwani leo ijumaa?Kwani kituo kimefungwa?
Hayaha ha umenikumbusha mbali
.....huyu mhindi ni lazima alale polisi leo,atake asitake.
Kwa hiyo watu 65 watatosha kuhojiwa wote Ijumaa??Kwani leo ijumaa?
Akili yako ndogo sana kuelewa hili jambo. We wamatukio tu.Acheni kuuza madawa otherwise mtatoa povu tu
Kesho hana muda, ndo maana kaitikia wito leo, kwani issue si kuhojiwa? au hawajajipanga kwa maswali?Kwani leo ijumaa?