Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,403
Ameongazana na mawakili 8. 6 wa nchini Tanzania na 2 kutoka Uingereza.
Wakati Yusuf Manji akitoka nje ya kituo, Polisi waagizwa kumzuia asiondoke, amerudishwa kituoni.
Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji bado yupo kituo cha Polisi, kwa habari zilizopo anamsubiri kamanda Sirro.