Yupo wapi Prof. Abdallah Safari?

Siasa za kuuana za Magufuli kuna wengine waliona wamalizie uzee vizuri
 
Alikuwa CUF baadae akawa CHADEMA, hajawhi kuwa na ushawishi wa kisiasa na tatizo lake alijiona anastahiki nafasi kubwa zaidi kutokana na elimu yake, Elimu sio kigezo kikuu cha uongozi kwenye siasa, kuna mambo mengi sana yanatakiwa ambayo yeye alikuwa akiyakosa. CUF alikimbia kwa kukosa Uongozi, CHADEMA alipata umakamo lakini hakuwa haukumsaidia kitu kwenye malengo yake.
 
Erythrocyte anajua sana mambo ya Komredi Makonda na anatupa updates zake mara kwa mara, lakini HAJUI CHOCHOTE cha aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama chake cha Chadema. Hii inasikitisha sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…