Wakuu,
Poleni na majukumu na Heri ya 2018.
Ni mda mrefu sasa sijamsikia kamanda na msemaji wa Jeshi la Police Tanzania (JLPT) mwanamama Advera Senzo Bulimba. Je, aliacha kazi au alihamishwa idara?
Nilimpenda sana yule mama hasa alivokuwa akicheza na microphones.